Hili la Joel ( Joe ) na Kujirusha Kwake hadi Kufa Ghorofa la DERM Makumbusho linaanza kunipa Mashaka Kifikra na Kimtizamo

Hili la Joel ( Joe ) na Kujirusha Kwake hadi Kufa Ghorofa la DERM Makumbusho linaanza kunipa Mashaka Kifikra na Kimtizamo

Mkuu [mention]GENTAMYCINE [/mention] hiyo aya ya mwisho ungeifungulia siredi yake inayojitegemea
 
Kwenye ukristo ukioa mke wa pili haisebiki kama ni ndoa kwakuwa sacrament hio haitolewi mara mbili mkiwa hai....kwa kifupi unatengwa na kanisa
 
Mbna kwenye mazishi kuna shada LA maua limeandikwa "SON" na liliwekwa kaburini.
Ikimaanisha ni mtoto wa wazazi wake. Lingeandikwa 'dad/father' ingemaanisha limewekwa na mtoto/watoto wake.
 
Joel ameoa mwaka 2014
Hadi May 2023 alikua hawa mtoto na huyo mke wake

Inasemekana Joel alikua anahisi mkewe ndio mwenye matatizo

Hivyo akataka kuongeza mke
Anahisi? Yawezekana aligundua tatizo lipo kwake kaona isiwe tabu!
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
iyo ya mwisho kuhusu yanga ndo kabambe...
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
Anko wako aliyefia. Marekani ameshaletwa nchini au bado?
 
Mwanaume alikuwa anashidaa ,Nina Imani angakuwa na mtoto wa nje kama mke wake hazai na wangeishi tu kama alikuwa alimpenda mke wake
 
Back
Top Bottom