Hili la madawati Tsh 15000/= kwa mwanafunzi mnalionaje?

Hili la madawati Tsh 15000/= kwa mwanafunzi mnalionaje?

doublep

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
239
Reaction score
152
Habari za kwenu waheshimiwa. Mimi ni mgeni katika jukwaa Hili lakini kuna jambo limenigusa nikaona nililete kwenu wazee wa uchambuzi huenda tukawasaidia Watanzania.

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza wanapoenda kuanza masomo hasa katika shule zetu za St. Kayumba wanatakiwa kwenda na vitu mbalimbali likiwemo dawati.

Inasikitisha kuona watu wameingiza siasa na kujidai wanawaonea huruma wazazi na kusema wachangie Tsh. 15000 kwa dawati. Hata hivyo kiuhalisia hakuna dawati la pesa hiyo. Mwisho wa siku asilimia kubwa ya mwanafunzi wanakaa chini.

I don't know but this is Tanzania, where are we going? Wakati huo anamwambia mzazi alipe pesa hiyo kwa dawati yeye anamlipia mwanae millions of money Private schools.

Karibuni sasa tuliangalie kwa pamoja.

Naomba kuwasilisha.

It's Me doublep.
 
Dawati ni meza na kiti. Hiyo hela ni sawa kabisa walipe maana wengine wanayaharibu tena kwa uzembe. So they should be repared
 
Dawati ni meza na kiti. Hiyo hela ni sawa kabisa walipe maana wengine wanayaharibu tena kwa uzembe. So they should be repared

Asante kwa Mchango wako meljons, is that 15000 for repair or for making a new one? Suppose there is nothing to repair what is to be done with that amount of money?
 
Asante kwa Mchango wako meljons, is that 15000 for repair or for making a new one? Suppose there is nothing to repair what is to be done with that amount of money?

Haya madawati kwa gharama ya elf15 in such sio imara ya kudumu maana naona lazima tu mengi yanaharibika kwa mwaka kiasi kwamba huwezi kutegemea kutumia yanayoachwa na form four wanaomaliza.

Yaani ukifuatilia kwa namna hii mkaamua wasilipe hiyo hela mfano kwa form one wa mwaka huu nakuhakikishia muda si mrefu watakaa chini kwa kukosa viti na meza.

Naona watu wengi mtaani wanalalamika juu ya hili la kuchangia vifaa vya shule ila ukweli ni kwamba ungefanikiwa kufanya kazi maeneo haya ukajionea hutolalamika tena.

So let them pay ni kiwango kidogo sana
 
Meljons

Meljons nahisi hujanielewa, huku kwetu that amount ndo ya dawati. Si kwamba ana dawati then analipa hiyo kwa ajili ya repair.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa Mchango wako meljons, is that 15000 for repair or for making a new one? Suppose there is nothing to repair what is to be done with that amount of money?

Wahusika wanakula hela za wazazi tu, ukienda kuangalia hakun ujenzi wa madawati wala kurekebishwa yale yalio katika hali mbaya. Lakin kila mwaka wanafunzi wanachangia
 
Meljons nahisi hujanielewa, huku kwetu that amount ndo ya dawati. Si kwamba ana dawati then analipa hiyo kwa ajili ya repair.

Nilikuelewa sana kwamba kila kichwa kinachoingia f1 kinalipa 15. Hiyo amount ni ndogo sana. Shule zingine ni elfu30. Ila sasa nikuulize unategemea mwanao aingie shuleni atumie dawati lipi kama hujamlipia au unadhani kuna wafadhili?
 
Nilikuelewa sana kwamba kila kichwa kinachoingia f1 kinalipa 15. Hiyo amount ni ndogo sana. Shule zingine ni elfu30. Ila sasa nikuulize unategemea mwanao aingie shuleni atumie dawati lipi kama hujamlipia au unadhani kuna wafadhili?

Hapo sasa twaenda pamoja, me mwenyewe niliona hiyo pesa haitoshi ndo mana nikalileta huku. Ni vema ingetamkwa pesa inayotosha dawati durable kama mtu anaona nyingi akachonge dawati la bei poa lenye the same standard apeleke kwa ajili ya mwanae.
 
Kwangu wanachangia 15000 ya ukarabati ikiwa ni pamoja na kufufua viti/meza walivyoviharibu wenyewe!!
ELIMU GHARAMA jamani!!
 
doublep;

Huu wote ni wizi tz tunanalipa mlipa wa kodi lakini huduma sero. ( tunalipa kodi na tunakuwa loyal to the gvt in exchange o f basic social services ) sio wajibu wa mwananchi anayelipa kodi kununua dawati kwenye shule ya gvt.
 
Last edited by a moderator:
Kwangu wanachangia 15000 ya ukarabati ikiwa ni pamoja na kufufua viti/meza walivyoviharibu wenyewe!!
ELIMU GHARAMA jamani!!

Sawa mhesh. Lakini afadhali uingie gharama upate kinachoeleweka kuliko yanayotokea huku St. Kayumba.
 
Aaaggh wewe Unazungumzia 15000 tu tena Sekondari? Mimi nimeshangaa kudaiwa tena 25,000 kwa kila mwaka kwa mtoto wa primary, nikajiuliza hivi, hili dawati la kila mwaka likoje? ukiomba risiti ni hadithi ndefu kweli. Tena shule ya Serikali pale Tanzania ilipo
 
kipindi nasoma shule nliingia form one kwa dawati la thamn ya shilingi 15,000/=
..
sa hivi no balaaa Mtoto wa form one wanamtaka atoe 60,000/=
 
Bei halisi ya dawati ni 60,000/= lengo la wanafunzi kulipishwa 15000 ni kununu madawati machache ya kujazia kwan kidato cha nne watakuwa wameacha vitu wanapomaliza.

Ndicho nilichodokezwa na mkuu mmoja wa shule hapa Dar.
 
Wahusika wanakula hela za wazazi tu, ukienda kuangalia hakun ujenzi wa madawati wala kurekebishwa yale yalio katika hali mbaya. Lakin kila mwaka wanafunzi wanachangia

Kama hawanunui na hawarekebishi ya zamani ina maana basi wanafunzi hawana madawati kumbe. Hakuna sekondari ambayo wazazi wamechangia kama walivyoelekezwa and then wanafunzi wanakaa chini.

Hata hivyo, kama hamtaki kuchangia au mnaona elimu ni gharama, jaribuni ujinga. Sisi watoto wetu wanasoma shule za St. Francis, Feza, Kifungilo, Marian nk. zenye kila kitu na wakishahitimu watakuja wawatawale watoto wenu.
 
Kama hawanunui na hawarekebishi ya zamani ina maana basi wanafunzi hawana madawati kumbe. Hakuna sekondari ambayo wazazi wamechangia kama walivyoelekezwa and then wanafunzi wanakaa chini. Hata hivyo, kama hamtaki kuchangia au mnaona elimu ni gharama, jaribuni ujinga. Sisi watoto wetu wanasoma shule za St. Francis, Feza, Kifungilo, Marian nk. zenye kila kitu na wakishahitimu watakuja wawatawale watoto wenu.

Watoto wew na nani sas…?

Kama umesha ona mzazi kampeleka mwanae shulen, kamnunulia na uniform, bado unatumia huo msemo kama elimu ni ghali jaribu ujinga…? Unadhani kila mtu anauwezo kama wako wewe,…?

Wazazi wengi wanaopelek watoto wao shule za kata ni walala hoi, unakuja na sifa zako hapa eti unawapeleka Marian, utajua peleka hata IST...
 
Back
Top Bottom