Hili la Majizzo kuzaa na Salma Msangi halijakaa sawa

Majizo ameonyesha unafki wa wanaume wengi


Na Salma kwanini kuzaa na mchumba wa mtu.,mhh🙌🏽
Kama ni kweli hili jambo Lulu wala asishangae maana na yeye alimchukua majizo kwa Hamisa tena wakati Hamisa ana mtoto mdogo wa Majizo, ajue tu kuwa kunguru hafugiki hata kama anasifiwa kwa umaarufu wa kungoboka mwanaume hatabiriki nini ana taka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…