King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Lulu anakwama wapi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji848]Mzee ulitaka azae na wewe nn?
Mzee ulitaka azae na wewe nn?
Kwani mlezi wao MAKONDA anasemaje?
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Kwani mtoto aliezaliwa yeye anasemaje juu ya hilo?
Hahahahaaa....Nimejikuta nacheeeka sana baada ya kusoma comments..!
Kama ni kweli hili jambo Lulu wala asishangae maana na yeye alimchukua majizo kwa Hamisa tena wakati Hamisa ana mtoto mdogo wa Majizo, ajue tu kuwa kunguru hafugiki hata kama anasifiwa kwa umaarufu wa kungoboka mwanaume hatabiriki nini ana taka.Majizo ameonyesha unafki wa wanaume wengi
Na Salma kwanini kuzaa na mchumba wa mtu.,mhh🙌🏽