Hili la makato mapya ya miamala ya simu ni "jipu lililo ndani ya ubongo"

Hili la makato mapya ya miamala ya simu ni "jipu lililo ndani ya ubongo"

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Sifa kubwa ya hili jipu ni kwamba lazima liende kuwa kansa, na sifa ya kansa sote tunaijua huwa inaua kidogokidogo tena kwa maumivu makali.

Lakini mbali na hili jipu kuwa kansa, likifanikiwa kupasukia humo ndani basi muhusika lazima apate kiharusi/stroke. Hivyo kumuweka muhusika katika hatari ya kufa mapema zaidi.

Kabla ya haya makato yenu mapya, muamala ya milioni 1 mtu alikuwa anakatwa 8000/=, baada ya ya haya makato yenu mliyoyaleta kinyume na sheria imeongezeka 8900/=. Yani kuna ongezeko la asilimia 100.9%.

Hapo kabla watu tulikuwa tunalia hizi gharama za kuendesha miamala ni kubwa sana zipunguzwe, lakini badala yake ndiyo mmeziongeza kwa 100% kwa kisingizio cha barabara za tarura? Hivi nyie mnatuona watanzania wapumbavu sana eeh?

Mh SSH hili liangalie kwa jicho la tatu, ni jipu linaloenda kuudidimiza uchumi zaidi badala ya kuuokoa. Uchumi haujawahi kutegemezwa kwa kuongeza kodi bali kwa kutengeneza fursa zaidi zitakazozalisha kodi kwa wingi.

IMG-20210709-WA0011.jpg
 
Huyu Rais sijawahi kumwelewa Kwa kweli. Hizi gharama zinaenda kushusha sana mapato Kwa nakampuni ya simu. Na uchumi utayumba Kwa maana watumiaji wengi wataopt matumizi ya Cash zaidi.

Wenzetu wanahamasisha matumizi ya E-money lakini sisi kwetu inaonekana kama ni anasa.
 
Tutakwenda kupanga foleni benki kama zamani. Nilishasahau kufanya transfer kwa benki lakini sasa haya makato yamezidi kiwango itabidi nirudie tu.
 
Hu
Huna akili so kama kenya ni zaidi ghali zaidi so na sisi iwe ghali?
Hana akili bibi yako..Ni hivi nimeweka hiyo reference Ili ku refute huo ujinga wako wa kulia Lia vitu vidogo.

Bei za bando,dakika nk ni fair Sana Tzn kuliko nchi za jirani nyingi ndio maana nilitaka uelewe.

Na unatakiwa kujua vyote mnavyolia Lia kama watoto wa mama wa kambo ni bei nafuu Sana kuliko Nchi nyingi za jirani.

Fanyeni Kazi Halali,lipeni kodi mpate maendeleo pimbi nyie.
 
Hana akili bibi yako..Ni hivi nimeweka hiyo reference Ili ku refute huo ujinga wako wa kulia Lia vitu vidogo.

Bei za bando,dakika nk ni fair Sana Tzn kuliko nchi za jirani nyingi ndio maana nilitaka uelewe.

Na unatakiwa kujua vyote mnavyolia Lia kama watoto wa mama wa kambo ni bei nafuu Sana kuliko Nchi nyingi za jirani.

Fanyeni Kazi Halali,lipeni kodi mpate maendeleo pimbi nyie.
Mwehu
 
Huyu Rais sijawahi kumwelewa Kwa kweli. Hizi gharama zinaenda kushusha sana mapato Kwa nakampuni ya simu. Na uchumi utayumba Kwa maana watumiaji wengi wataopt matumizi ya Cash zaidi.

Wenzetu wanahamasisha matumizi ya E-money lakini sisi kwetu inaonekana kama ni anasa.
Wanataka kulinda banks ambazo wanaweza kuwa shareholders au shareholders ni washikaji.

Ila kwa nini lawama zisielekezwe bungeni?
 
Haya,ndio madhara,ya kuondoa wabunge wenye akili na kuweka bongo fleva bungeni !!!!! Safi saaaaaaana na bado
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wenzako wanaenda kujengea sanamu
 
Back
Top Bottom