Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Makonda karuhusu boda ziingie katikati ya jiji. Zuio hili hapo mwanzoni bila shaka lilikua na maana yake pana na imekua kawaida na imekua kama sheria boda boda haziingii katikati ya jiji.
Nimezumguuka miji kadhaa mikubwa hua hiki ni kitu wenzetu wengine wanafanya.
Jamani hata kama ni hizi danganya toto za watu kutaka kura zimezidi mpaka kupindua sheria?
Mimi I'm fine mtu agawe pilau watu wale, mtu awajazie boda boda wese ili azunguke nao kwa kampeni sababu hapo hakuna sheria inayovunjwa. By the way hata mtu agawe buku saba saba kwani vepee. Sawa tu. Chukua buku saba ikifika kwenye kura mpige chini mwanasiasa aliyekupa buku zake saba. Kwani atakuona.
Kwanza hiyo buku saba itakua inabadilishwa jina rightly so kutoka kua rushwa mpaka kua takrima na maisha mbona yanaenda hakuna anaekamatwa,
Shida ni hapa tunapoamua kucheza na vitu ambavyo ni kama sheria tayari na kuvitumia kama political stunt. Jamani sheria hazipinduliwi hivyo. Huu uchaguzi utapita halafu tunavowajua hamna hata haya za uso mtarudi kwenye utaratibu wa kawaida tunawajua nyinyi.
Hii nchi hii mpaka hasira yaani.
Makonda karuhusu boda ziingie katikati ya jiji. Zuio hili hapo mwanzoni bila shaka lilikua na maana yake pana na imekua kawaida na imekua kama sheria boda boda haziingii katikati ya jiji.
Nimezumguuka miji kadhaa mikubwa hua hiki ni kitu wenzetu wengine wanafanya.
Jamani hata kama ni hizi danganya toto za watu kutaka kura zimezidi mpaka kupindua sheria?
Mimi I'm fine mtu agawe pilau watu wale, mtu awajazie boda boda wese ili azunguke nao kwa kampeni sababu hapo hakuna sheria inayovunjwa. By the way hata mtu agawe buku saba saba kwani vepee. Sawa tu. Chukua buku saba ikifika kwenye kura mpige chini mwanasiasa aliyekupa buku zake saba. Kwani atakuona.
Kwanza hiyo buku saba itakua inabadilishwa jina rightly so kutoka kua rushwa mpaka kua takrima na maisha mbona yanaenda hakuna anaekamatwa,
Shida ni hapa tunapoamua kucheza na vitu ambavyo ni kama sheria tayari na kuvitumia kama political stunt. Jamani sheria hazipinduliwi hivyo. Huu uchaguzi utapita halafu tunavowajua hamna hata haya za uso mtarudi kwenye utaratibu wa kawaida tunawajua nyinyi.
Hii nchi hii mpaka hasira yaani.