mama D JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 19,981 Reaction score 35,581 Apr 16, 2012 #41 eh! makubwa haya kama sielewielewi vile
LiverpoolFC JF-Expert Member Joined Apr 12, 2011 Posts 11,483 Reaction score 3,369 Apr 16, 2012 Thread starter #42 mama D said: eh! makubwa haya kama sielewielewi vile Click to expand... mama D! Yani hbr ndiyo hiyo jana pale Soweto uwanjani! Ila hakika Mi sijaiunga ile hoja mkono! Cjui Kanumba kaacha nini mpk akumbukwe kivile! Kaaaazi kweli kweli!!
mama D said: eh! makubwa haya kama sielewielewi vile Click to expand... mama D! Yani hbr ndiyo hiyo jana pale Soweto uwanjani! Ila hakika Mi sijaiunga ile hoja mkono! Cjui Kanumba kaacha nini mpk akumbukwe kivile! Kaaaazi kweli kweli!!
Mdau35 Senior Member Joined Apr 11, 2012 Posts 126 Reaction score 17 Apr 16, 2012 #43 Uncle Jei Jei said: nijuavyo mimi Mungu huchukia sana ibada za wafu! Click to expand... nijuavyo mimi Biblia inasema hakuna shirika kati ya wafu na walio hai so nashndwa kujua waendesha hiyo misa wanasoma Biblia gani?
Uncle Jei Jei said: nijuavyo mimi Mungu huchukia sana ibada za wafu! Click to expand... nijuavyo mimi Biblia inasema hakuna shirika kati ya wafu na walio hai so nashndwa kujua waendesha hiyo misa wanasoma Biblia gani?