Hili la mbolea ya ruzuku kuna mahali tumeteleza, Bashe lazima awajibike

Hili la mbolea ya ruzuku kuna mahali tumeteleza, Bashe lazima awajibike

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
IMG-20230119-WA0062.jpg


Gazeti la Mwananchi Januari 18,2023.
 
View attachment 2487231

Gazeti la Mwananchi Januari 18,2023.
Kwa maoni yako wewe unataka Bashe awajibike kwa lipi? Maana kwa mwaka huu Wakulima wengi wamenufaika na mbolea ya ruzuku kuliko miaka iliopita kinachotakiwa ni maboresho madogomadogo ya hapa na pale

Mfano: Mawakala waongezwe mpaka vijijini hata watu binafsi wenye uwezo wa kuuza mbolea wapewe uwakala isiwe lazima mpaka liwe duka la pembejeo
 
Kwa maoni yako wewe unataka Bashe awajibike kwa lipi? Maana kwa mwaka huu Wakulima wengi wamenufaika na mbolea ya ruzuku kuliko miaka iliopita kinachotakiwa ni maboresho madogomadogo ya hapa na pale...
Unayajua yanayoendelea kwenye Mbolea ya Ruzuku au unataka kuzungumza mambo usiyafahamu kwa sababu unanufaika na uwaziri wa Bashe?

Hivi unajua kuna wakulima hadi leo wamejisajili majina yao kwenye Serikali za Vijiji na Kata tangu Agosti mwaka jana na hadi leo msimu unakaribia kuisha wa kilimo hawajapata mbolea?

Hivi unajua kuna mbolea za ruzuku zililengwa kupelekwa kwa wakulima lakini zimefichwa na kutoroshwa kwenda kuuzwa nje ya nchi na kuwatajirisha wakubwa na sio kuwanufaisha wakulima wa Tanzania?
 
Unayajua yanayoendelea kwenye Mbolea ya Ruzuku au unataka kuzungumza mambo usiyafahamu kwa sababu unanufaika na uwaziri wa Bashe?

Hivi unajua kuna wakulima hadi leo wamejisajili majina yao kwenye Serikali za Vijiji na Kata tangu Agosti mwaka jana na hadi leo msimu unakaribia kuisha wa kilimo hawajapata mbolea?

Hivi unajua kuna mbolea za ruzuku zililengwa kupelekwa kwa wakulima lakini zimefichwa na kutoroshwa kwenda kuuzwa nje ya nchi na kuwatajirisha wakubwa na sio kuwanufaisha wakulima wa Tanzania?
Usionge kijumla jumla izo mbolea zilizofichwa zipo wapi na wewe uliezigundua kwa nini usizifichue?

Kuhusu baadhi ya Wakulima kukosa mbolea kwa wakati ni kweli maana mpaka sasa mbolea bado zinauzwa kwenye maduka ya pembejeo na hao waliokosa wakienda watapata

Changamoto kubwa ninayoiona Mawakala ni wachache mwakani waboreshe Mawakala wawepo mpaka vijijini yoyote mwenye uwezo wa kuuza mbolea apewe kibali isiwe lazima mpaka liwe duka la pembejeo

Tunapoongea umu sio lazima uwe mnufaika au muathirika muhimu uongee kitu cha ukweli na ambacho una uhakika nacho usiongee kwa ajili ya chuki,fitna,majingu nk

Wewe kama Mkulima sema haki mwaka huu na miaka iliopita ni wakati gani Mkulima ananufaika na mbolea ya rukuzu? Mwaka huu ukiitaji mifuko 20,30 nakuendelea unapata yote tofauti na kipindi kilichopita unataka mifuko 10 unapewa2 au unaambiwa imeisha kabisa

Mwaka huu changamoto kubwa nilioina ni kuchelewa kwa baadhi ya Wakulima kupata mbolea na Umbali wa maduka ya Mawakala yalipo na vijiji mambo hayo kwa maoni yangu ndio tuitake Serikali iyashughulikie kwa wakati ili mwakani yasijitokeze

Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa kiasi kikubwa tumeyaona mabadilko makubwa katika upatikanaji wa mbolea na kama hizi changamoto chache zilizojitokeza zikishughulikiwa itapatikana nafuu kubwa kwa Mkulima
 
Labda nikwambie kitu kimoja ndugu yangu usifikiri labda nabisha kuwa akuna changamoto changamoto ndogondogo zipo nyingine zinashughulikiwe na nyingine ndio tunataka Serikali izishughulikie

Swala hilo la nenda rudi na tatizo nimeshakuambia Mawakala kuwa mbali na vijiji ila baada ya nenda rudi mwisho wa siku mbolea unapata

Kuhusu wizi sijui Bashe ndio kaiba!!! Baadhi ya Mawakala wasiowaaminifu wamefanya hayo na Serikali imewakamata na hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yao sasa sijui hapo wewe unalaumu nini na unataka Serikali ifanyeje?

Nimekwambia toka mwanzo kuwa changamoto ndogondogo zipo na inabidi zitatuliwe na nimekwambia kuwa uuzwaji wa Mbolea mwaka huu ni mzuri kuliko miaka iliopita maana ukiachilia hizo kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza ila Mkulima akipata mbolea anapata yote anayoihitaji hata kama kwa siku hiyo itakuwa aijatimia ataambiwe aje siku nyingine aimalizie

Sasa wewe unaetaka Bashe awajibike sijui unataka Bashe awajibike kwa lipi? Na kwa maoni yako unaona Bashe anafaya vibaya kuliko Mawaziri watatu wa Kilimo waliopita?
 
Ili mbona nikwambia toka mwanzo kuwa ni usumbufu Mawakala kuwa mbali na vijiji na kumzidishia gharama Mkulima ila baada ya hizo nenda rudi Wakulima wote wanapata mbolea na ndio maana tunataka hiyo changamoto iondolewe kila mwenye uwezo wa kuuza mbolea auze yasiwe maduka ya pembejeo peke yake
 
Usionge kijumla jumla izo mbolea zilizofichwa zipo wapi na wewe uliezigundua kwa nini usizifichue?

Kuhusu baadhi ya Wakulima kukosa mbolea kwa wakati ni kweli maana mpaka sasa mbolea bado zinauzwa kwenye maduka ya pembejeo na hao waliokosa wakienda watapata

Changamoto kubwa ninayoiona Mawakala ni wachache mwakani waboreshe Mawakala wawepo mpaka vijijini yoyote mwenye uwezo wa kuuza mbolea apewe kibali isiwe lazima mpaka liwe duka la pembejeo

Tunapoongea umu sio lazima uwe mnufaika au muathirika muhimu uongee kitu cha ukweli na ambacho una uhakika nacho usiongee kwa ajili ya chuki,fitna,majingu nk

Wewe kama Mkulima sema haki mwaka huu na miaka iliopita ni wakati gani Mkulima ananufaika na mbolea ya rukuzu? Mwaka huu ukiitaji mifuko 20,30 nakuendelea unapata yote tofauti na kipindi kilichopita unataka mifuko 10 unapewa2 au unaambiwa imeisha kabisa

Mwaka huu changamoto kubwa nilioina ni kuchelewa kwa baadhi ya Wakulima kupata mbolea na Umbali wa maduka ya Mawakala yalipo na vijiji mambo hayo kwa maoni yangu ndio tuitake Serikali iyashughulikie kwa wakati ili mwakani yasijitokeze

Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa kiasi kikubwa tumeyaona mabadilko makubwa katika upatikanaji wa mbolea na kama hizi changamoto chache zilizojitokeza zikishughulikiwa itapatikana nafuu kubwa kwa Mkulima
Unajua sababu ya kuwepo mbolea ys ruzuku?

Unaposema miaka ya nyuma unamaanisha nn?

Mbolea ilipanda bei kutokana na athari za vita ya Ukraine na Corona, hivyo bei ikatoka 50000 hadi 100000, na ile iliyokiq 70000 ilienda hadi 150000. Ndio hapo serikali mwaka jana ikaja na hili la ruzuku ili kupunguza gharama kwa wakulima
 
Labda nikwambie kitu kimoja ndugu yangu usifikiri labda nabisha kuwa akuna changamoto changamoto ndogondogo zipo nyingine zinashughulikiwe na nyingine ndio tunataka Serikali izishughulikie

Swala hilo la nenda rudi na tatizo nimeshakuambia Mawakala kuwa mbali na vijiji ila baada ya nenda rudi mwisho wa siku mbolea unapata

Kuhusu wizi sijui Bashe ndio kaiba!!! Baadhi ya Mawakala wasiowaaminifu wamefanya hayo na Serikali imewakamata na hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yao sasa sijui hapo wewe unalaumu nini na unataka Serikali ifanyeje?

Nimekwambia toka mwanzo kuwa changamoto ndogondogo zipo na inabidi zitatuliwe na nimekwambia kuwa uuzwaji wa Mbolea mwaka huu ni mzuri kuliko miaka iliopita maana ukiachilia hizo kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza ila Mkulima akipata mbolea anapata yote anayoihitaji hata kama kwa siku hiyo itakuwa aijatimia ataambiwe aje siku nyingine aimalizie

Sasa wewe unaetaka Bashe awajibike sijui unataka Bashe awajibike kwa lipi? Na kwa maoni yako unaona Bashe anafaya vibaya kuliko Mawaziri watatu wa Kilimo waliopita?
Mbolea hii ya ruzuku imewekwa msimu huu kwa kuwa bei ilipanda Sana. Hiyo miaka mingine hakukua na hili la ruzuku. Sasa unaposema miaka iliyopita unamaanisha nn?

Hizi ni juhudi za mama Samia kwa mwaka huu ili kumpunguzia gharama mkulima kutokana na mbolea kuwa ghali.
 
Back
Top Bottom