Hili la Mgombea Binafsi tusipopaza sauti zetu hakuna mwansiasa wa kulisemea

Hili la Mgombea Binafsi tusipopaza sauti zetu hakuna mwansiasa wa kulisemea

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Katika harakati za kudai na kukumbusha katiba mpya suala la mgombea binafsi haliungumzwi kabisa. Si CHADEMA, ACT, CCM au chama chochote cha siasa wa kulisemea hili.

Hii ni kwa sababu wote wanaangalia maslahi yao hivyo hawawez kulipigania hili. Sisi ambao tungetamani sura halisi ya uwakilishi ambao si lazima uwe na mwavuli wa chama cha siasa ndio pekee tunaweza kulisemea hili.

Tunaomba tena jambo hili lipewe uzito mkubwa katika katiba mpya kwa sababu dhana ya uwakilishi ni makubalino ya wananchi na mwakilishi wao wala sioni sababu ya kuwepo ulazima wa chama cha siasa kusimama katikati hapo.

Tupaze sauti tunataka haki ya kuwakilishwa na mtu na sio chama cha siasa.

Wananchi tunataka mgombea binafsi ili kutoa fursa kwa watu wenye uwezo kujisimamia na kuendesha siasa ktk nchi yao kwa uhuru bila kufungwa na chama cha siasa.
 
Katika harakati za kudai na kukumbusha katiba mpya suala la mgombea binafsi haliungumzwi kabisa. Si CHADEMA, ACT, CCM au chama chochote cha siasa wa kulisemea hili.

Hii ni kwa sababu wote wanaangalia maslahi yao hivyo hawawez kulipigania hili. Sisi ambao tungetamani sura halisi ya uwakilishi ambao si lazima uwe na mwavuli wa chama cha siasa ndio pekee tunaweza kulisemea hili.

Tunaomba tena jambo hili lipewe uzito mkubwa katika katiba mpya kwa sababu dhana ya uwakilishi ni makubalino ya wananchi na mwakilishi wao wala sioni sababu ya kuwepo ulazima wa chama cha siasa kusimama katikati hapo.

Tupaze sauti tunataka haki ya kuwakilishwa na mtu na sio chama cha siasa.

Wananchi tunataka mgombea binafsi ili kutoa fursa kwa watu wenye uwezo kujisimamia na kuendesha siasa ktk nchi yao kwa uhuru bila kufungwa na chama cha siasa.
Wenye nchi wanaogopa mabeberu watatumia huo mwanya kupachika wagombea wao watakaoichuuza nchi.
Pascal Mayalla
 
Katika harakati za kudai na kukumbusha katiba mpya suala la mgombea binafsi haliungumzwi kabisa. Si CHADEMA, ACT, CCM au chama chochote cha siasa wa kulisemea hili.

Hii ni kwa sababu wote wanaangalia maslahi yao hivyo hawawez kulipigania hili. Sisi ambao tungetamani sura halisi ya uwakilishi ambao si lazima uwe na mwavuli wa chama cha siasa ndio pekee tunaweza kulisemea hili.

Tunaomba tena jambo hili lipewe uzito mkubwa katika katiba mpya kwa sababu dhana ya uwakilishi ni makubalino ya wananchi na mwakilishi wao wala sioni sababu ya kuwepo ulazima wa chama cha siasa kusimama katikati hapo.

Tupaze sauti tunataka haki ya kuwakilishwa na mtu na sio chama cha siasa.

Wananchi tunataka mgombea binafsi ili kutoa fursa kwa watu wenye uwezo kujisimamia na kuendesha siasa ktk nchi yao kwa uhuru bila kufungwa na chama cha siasa.
Mgombea binafsi ni mgombea binafsi, yuko lwake hata akiwa Rais yuko lwake. Sasa iweje tuhamasishane kutetea mgombea binafsi atakayetuacha? Kama wewe unapenda kuwa peke yako, mgombea binafsi wa peke yako, basi jitetee binafsi, andamana peke yako, puga kelele pekecyako
 
Katika harakati za kudai na kukumbusha katiba mpya suala la mgombea binafsi haliungumzwi kabisa. Si CHADEMA, ACT, CCM au chama chochote cha siasa wa kulisemea hili.

Hii ni kwa sababu wote wanaangalia maslahi yao hivyo hawawez kulipigania hili. Sisi ambao tungetamani sura halisi ya uwakilishi ambao si lazima uwe na mwavuli wa chama cha siasa ndio pekee tunaweza kulisemea hili.

Tunaomba tena jambo hili lipewe uzito mkubwa katika katiba mpya kwa sababu dhana ya uwakilishi ni makubalino ya wananchi na mwakilishi wao wala sioni sababu ya kuwepo ulazima wa chama cha siasa kusimama katikati hapo.

Tupaze sauti tunataka haki ya kuwakilishwa na mtu na sio chama cha siasa.

Wananchi tunataka mgombea binafsi ili kutoa fursa kwa watu wenye uwezo kujisimamia na kuendesha siasa ktk nchi yao kwa uhuru bila kufungwa na chama cha siasa.
Wenye nchi wanaogopa mabeberu watatumia huo mwanya kupachika wagombea wao watakaoichuuza nchi.
Pascal Mayalla
Mkuu Proved , asante kuni tag, Mkuu tashwishwi , tuko humu hili jambo kila uchao, tunalia nalo, mifano ni hii
Hayo ni mabandiko ya mwaka huu tuu, ya mwaka jana ni zaidi ya 10, na mwaka juzi, na juzi na juzi yake, hivyo hili jambo tunalipigania sana tuu.
p
 
Katika harakati za kudai na kukumbusha katiba mpya suala la mgombea binafsi haliungumzwi kabisa. Si CHADEMA, ACT, CCM au chama chochote cha siasa wa kulisemea hili.

Hii ni kwa sababu wote wanaangalia maslahi yao hivyo hawawez kulipigania hili. Sisi ambao tungetamani sura halisi ya uwakilishi ambao si lazima uwe na mwavuli wa chama cha siasa ndio pekee tunaweza kulisemea hili.

Tunaomba tena jambo hili lipewe uzito mkubwa katika katiba mpya kwa sababu dhana ya uwakilishi ni makubalino ya wananchi na mwakilishi wao wala sioni sababu ya kuwepo ulazima wa chama cha siasa kusimama katikati hapo.

Tupaze sauti tunataka haki ya kuwakilishwa na mtu na sio chama cha siasa.

Wananchi tunataka mgombea binafsi ili kutoa fursa kwa watu wenye uwezo kujisimamia na kuendesha siasa ktk nchi yao kwa uhuru bila kufungwa na chama cha siasa.
Bado Sana
 
Katika harakati za kudai na kukumbusha katiba mpya suala la mgombea binafsi haliungumzwi kabisa. Si CHADEMA, ACT, CCM au chama chochote cha siasa wa kulisemea hili.

Hii ni kwa sababu wote wanaangalia maslahi yao hivyo hawawez kulipigania hili. Sisi ambao tungetamani sura halisi ya uwakilishi ambao si lazima uwe na mwavuli wa chama cha siasa ndio pekee tunaweza kulisemea hili.

Tunaomba tena jambo hili lipewe uzito mkubwa katika katiba mpya kwa sababu dhana ya uwakilishi ni makubalino ya wananchi na mwakilishi wao wala sioni sababu ya kuwepo ulazima wa chama cha siasa kusimama katikati hapo.

Tupaze sauti tunataka haki ya kuwakilishwa na mtu na sio chama cha siasa.

Wananchi tunataka mgombea binafsi ili kutoa fursa kwa watu wenye uwezo kujisimamia na kuendesha siasa ktk nchi yao kwa uhuru bila kufungwa na chama cha siasa.
Vyama vingi vya siasa havipendi mgombea binafsi.

Ni muhimu Katiba iheshimu hili maana imetoa HAKI kwa Kila mtanzania kuchagua na kuchaguliwa.
 
Back
Top Bottom