Hili la Mgunda kuwa hana vyeti, Barbara aondoke

Uongozi wa Simba una vituko kweli kweli

Mkuu swala la simba tuliache kwa muda, vipi familia yenu mmeweza kutoboa na kuitwa familia ya kitajiri hata kwa level ya tarafa???
 
Mkuu swala la simba tuliache kwa muda, vipi familia yenu mmeweza kutoboa na kuitwa familia ya kitajiri hata kwa level ya tarafa???
We jamaa ni jinga sana sasa unadhani utajiri wa mtu utaujua kupitia Jf?
 
Mkuu swala la simba tuliache kwa muda, vipi familia yenu mmeweza kutoboa na kuitwa familia ya kitajiri hata kwa level ya tarafa???
Mambo ya familia yangu hayakuhusu, jikite kwenye hoja iliyopo...
 

Mgunda vyeti anavyo unasemaje hapa?
 
Uongozi wa Simba una vituko kweli kweli
Nahisi uongozi wa simba uko serious sana ila wanahabari wanawalakini katika weledi wao, kama ni hivyo, rushwa pekee ndio inaweza kuwa chanzo
 
Nahisi uongozi wa simba uko serious sana ila wanahabari wanawalakini katika weledi wao, kama ni hivyo, rushwa pekee ndio inaweza kuwa chanzo
We ndo umeongea point yamsingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…