Hili la Okrah na Dejan, Juma Ulifanyie Kazi

Hili la Okrah na Dejan, Juma Ulifanyie Kazi

Mgunda hana uwezo wa ku-manage mastaa wakubwa ,why? Hajawahi kufundisha mpira katika klabu kubwa zaidi ya simba. Simba ndiyo klabu yake khbwa ya kwanza kuifundisha, hajawahi kushiriki kuifikisha timu katika hatua hizi kubwa za CAF champions league. Ni wazi kuwa timu itamsumbua.

Simba inahitaji makocha wapya wa kizungu kutoka ulaya. Makocha ambao wamefundisha vilabu vikubwa ulaya au afrika. Kocha kama katoka klabu kubwa za ulaya au hapa Afrika akifika simba hawezi kupata tabu nayo.

Pia waafrika tumejengeka kuwadharau waafrika wenzetu, ipo hivyo ila akija kocha mwarabu au mzungu basi wachezaji wote watatii kama ilivyokuwa kwa babu Zoran Maki.

Sasa Ukiongea hivi utaonekana ni mpinzani. Lakini umeongea Ukweli Tupu.

The man lacks management skills and Confidence. Nadhani pia hana Self - realization.... yaani anaona kama kilichotokea ni bingo badala ya kuonesha skills zake na power Kama kiongozi .

Kitendo kilichotokea JUZI kimedhihirisha hilo.

Inawezekana yeye Mwenyewe anaona labda ni dodo; Hivyo anaweka usela badala ya ku Act Kama manager na Ku exercise power yake. Kama kiongozi upumbavu haupaswi kutokea.
 
Upo vizuri. Sasa haya mambo wanatakiwa kuyajua. Mpira sio Media. Ukubwa wa simba Upo kwenye Media lakini the reality on the ground is always different. SSC haina Characters za kujiita TIMU KUBWA.

Ikiwa Wachezaji timu moja wenye Focus moja wanapigana mbele ya Head Coach Hiyo ni Timu ya Wahuni na wavuta Bangi
Hakuna nidhamu
Kabisa mkuu......kwa akili ya kawaida inaonekana discipline Ni zero..... cause ikifika hatua ya kupigana wanaume .....ujue Ni shida Sana

Na hapo hata wapatanishwe vpi....lzma kutakuwa na bifu la chini chini
 
Ufupi sio ulemavu

Nakubali but Ufupi unakuja na changamoto zake.

Hata gentleman lazima uwe na kimo... ukimuona mtu kama Boko , Dejan etc etc they are always calm and polite. They are good people.

Njoo kwa hizo short guys Sako , Okrah etc etc wanataka waonekana wao na hii ndio sifa zao. However, exceptional is there, kama vile Phiri ... unaona kabisa ni mtu Mzuri and always he smiles and very humble guy ... so Sio wote lakini majority ni CHANGAMOTO.

Do not take my words personal .... it is just part of it !
 
Sasa Ukiongea hivi utaonekana ni mpinzani. Lakini umeongea Ukweli Tupu.

The man lacks management skills and Confidence. Nadhani pia hana Self - realization.... yaani anaona kama kilichotokea ni bingo badala ya kuonesha skills zake na power Kama kiongozi .

Kitendo kilichotokea JUZI kimedhihirisha hilo.

Inawezekana yeye Mwenyewe anaona labda ni dodo; Hivyo anaweka usela badala ya ku Act Kama manager na Ku exercise power yake. Kama kiongozi upumbavu haupaswi kutokea.
Kocha mwenyewe kingereza cha kuungaunga anaanzaje kuwafokea au kuwakalipia wachezaji wanaozungumza kingereza tu? Raia wengi wa nchi za afrika wanatudharau watanzani kutokana na kutokujua kingereza.
 
Kwenye Management kuna Theory ya Administrative Theory ambayo imeweka 6 Functions za Management na 14 principles of management . Theory hii hutumika jeshini na kwenye Intelligence Institutions kwa ajili ya UTII na Chain of Command.

Katika hizi 14 principles kuna Chain of command, Authority/ Power , Discipline na Unity of direction.

Ukiwa kama Manager na ukashindwa kusimamia hizi principles , that means wewe ni failure.

Juma inawezekana ni good manager lakini anakosa Fundamental Character Ethics za Management. Aende crush course.

Kitendo cha Dejan kulalamika kutopewa pasi na Okrah despite kwamba yupo kwenye better position Ina nullify Unity of Direction ya timu na kitendo cha kutaka kupigana ina maanisha manager ameshindwa ku executes na ku transfer authority au POWER yake Kama Manager. Kama wameweza Ku misbehaving mbele ya head coach , you can be sure kuwa something is wrong kwenye management ya Juma.

and that means , Kocha has poor management skills .

Mpira wa kisasa unawataka mawinga pia wawe wanashinda magoli hivyo imewapelekea kuwa SELFISH and that is really bad maana lengo la timu ni ushindi na Sio Individual success. Mchezaji kama Okrah hawezi kuwa ni msaada kwenye timu. He is all about himself and immaturity.

Gregory’s theory inasema by nature man is Self centered, so wakati mwîngine as a manager lazima uwe aggressive kuhakikisha kuna Discipline na Utii, otherwise you are going to fail

Klabu ya SIMBA ni kubwa, matukio kama haya yana question UKUBWA wa simba , kuwa hii ni Klabu kubwa au ni Klabu ya wahuni na wavuta Bangi ?

Juma, Hili lifanyie kazi lisijirudie tena .... inaharibu sana CV Yako katika Realms za Management as Head Coach. Hata hivyo kwa miaka 2 sasa benchi la ufundi la simba halina nidhamu. Na hii yote ni dhahiri kuwa failure kwenye management.

The chain of Command.... Order and Power must come from only one person and then it goes down following the chain to the lowest level. Hii kitu simba HAIPO . NI MAMBO YA AJABU NA HOVYO.

Simba, fundisheni Nidhamu wachezaji wenu hasa wale wanaoonekana are not well trained maana ya Team work !
——————

Ulichoandika hapa ni pumba tupu.
 
Kwanza kubishana Wachezaji ni ukosefu wa nidhamu?
Sadio Mane alimlalamikia vibaya vinaya Mohammed Salah baad ya kunyimwa pasi hadi akapoozwa na Kocha wao Jurgen Klopp. Kama Mane na Salah ambao ni true professionals wanadaiwa kutokuwa na nidhamu kwa tafsiri yenu, itakuwaje kwa wa kwetu


Je walipigana?

Maana Dejan na Okrah wamepigana.

Wamerushiana ngumu. How do you define that.... labda wewe ufafanue zaid
 
Sako na Okrah ni Vijana wa hovyo . Na hawawezi kuwa ni msaada kwenye timu. Ikiwa klabu inasajili vijana kama hawa na wanajiita ni Klabu kuwa ., basi jua ni hakuna kitu .
Ni watu wa Hovyo . Sako ni selfish and Hana Team work just like Okrah ! Timu yenye akili haiwezi kuwa Na takataka kama hiz
Si bado mnashangilia goli la Sakho lile la CAF? Au mmeshamkinai.
 
Si bado mnashangilia goli la Sakho lile la CAF? Au mmeshamkinai.

Watatolewa Na Timu ya Angola . Amini nikuambiacho.

Yanga atamfunga Alhilal Na ataenda Makundi.

Simba ina wiki 2 kutoka kwenye michuano iwe jua iwe mvua wanatoka.

Hakuna kikosi chenye ushirikiano pale. Kuna wimbi la wahuni lenye akili ya individual success.
 
Nyuzi zote zinazowahusu MAKOLO huwezi kuwaona wakichangia,yanapita na kuchungulia kama yanaaga maiti,mengi yamejazana kwenye nyuzi zinazohusu Wananchi!
Mkuu hicho KISWA-NGLISH kilichomwagwa hapo wanahaha...RAGE woyeeeeee.
 
Hii kitu ifanyiwe kazi. Na roho mbaya ni mbaya maan mwisho wa siku watakuwa wanaomba timu ifungwe Tu Ikiwa ni sehemu ya kukomoana.

Ila mtanisamehe Hii ni shida sana ya watu WAFUPI . Watu wafupi hii jamii ni shida sana. Hata kwenye maisha ya kawaida .they are always like that nimesha observe sana hii kitu

I am sorry for my language but I think kuna kaukweli. Ndio maana USA hawataki Rais Mfupi, they also focus na height za marais .
It matters sana.
Mbaya sana.
Though Tokea mwanzo kwenye uzi wako umeandika takataka na vimaneno vya kuokoteza vya kiingereza cha hovyo kuwakoga mamburula wenzio.

Ila hapa kwenye ku-attack vimo vya watu ndio umekosa hoja kabisa. Generalization is illogical, kuna watu wafupi wengi ni humble kuliko hata warefu and vice versa is true. USA kuna marais wengi tu wafupi mfano James Madison, Jimmy Carter, Benjamin Harrison etc

Haya mambo ya wachezaji kuzinguana ni kitu cha kawaida kwenye mpira kwa sababu ni part ya ubinadamu.

Juzi tu ilisambaa clip Richalson anataka kumkwida Vinicius Jr akina Neymar na Alves wakamzuia. Je hao nao sio professional?

Je kipindi Lacazete alivyomkwida mchezaji mwenzie wa Arsenal. Naye sio professional?

Kingine Okrah huwezi kumuweka kwenye kundi la wachezaji wabinafsi. Ni mchezaji ambaye anatoa pasi sana kwa wenzie. Hata goli la pili la Phiri dhidi ya big bullets angekuwa mchoyo asingetoa pasi kwa sababu hata yeye alikuwa kwenye nafasi nzuri tu ya kufunga.
 
Watatolewa Na Timu ya Angola . Amini nikuambiacho.

Yanga atamfunga Alhilal Na ataenda Makundi.

Simba ina wiki 2 kutoka kwenye michuano iwe jua iwe mvua wanatoka.

Hakuna kikosi chenye ushirikiano pale. Kuna wimbi la wahuni lenye akili ya individual success.
If wishes were horses beggars would ride. You may continue to enjoy your wishful thinking.
 
Though Tokea mwanzo kwenye uzi wako umeandika takataka na vimaneno vya kuokoteza vya kiingereza cha hovyo kuwakoga mamburula wenzio.

Ila hapa kwenye ku-attack vimo vya watu ndio umekosa hoja kabisa. Generalization is illogical, kuna watu wafupi wengi ni humble kuliko hata warefu and vice versa is true. USA kuna marais wengi tu wafupi mfano James Madison, Jimmy Carter, Benjamin Harrison etc

Haya mambo ya wachezaji kuzinguana ni kitu cha kawaida kwenye mpira kwa sababu ni part ya ubinadamu.

Juzi tu ilisambaa clip Richalson anataka kumkwida Vinicius Jr akina Neymar na Alves wakamzuia. Je hao nao sio professional?

Je kipindi Lacazete alivyomkwida mchezaji mwenzie wa Arsenal. Naye sio professional?

Kingine Okrah huwezi kumuweka kwenye kundi la wachezaji wabinafsi. Ni mchezaji ambaye anatoa pasi sana kwa wenzie. Hata goli la pili la Phiri dhidi ya big bullets angekuwa mchoyo asingetoa pasi kwa sababu hata yeye alikuwa kwenye nafasi nzuri tu ya kufunga.

Don’t take my word personal . Nimesema kuna exceptional. Hoja zako zote hazihalalishi misbehaving iliyofanywa na wachezaji wa simba.
 
Nakubali but Ufupi unakuja na changamoto zake.

Hata gentleman lazima uwe na kimo... ukimuona mtu kama Boko , Dejan etc etc they are always calm and polite. They are good people.

Njoo kwa hizo short guys Sako , Okrah etc etc wanataka waonekana wao na hii ndio sifa zao. However, exceptional is there, kama vile Phiri ... unaona kabisa ni mtu Mzuri and always he smiles and very humble guy ... so Sio wote lakini majority ni CHANGAMOTO.

Do not take my words personal .... it is just part of it !
Mimi sio mfupi nipo above 6ft nazijua taabu za watu wafupi
 
Uzi umeanza vzr ila mwisho umeleta sintofahamu
 
Kwenye Management kuna Theory ya Administrative Theory ambayo imeweka 6 Functions za Management na 14 principles of management . Theory hii hutumika jeshini na kwenye Intelligence Institutions kwa ajili ya UTII na Chain of Command.

Katika hizi 14 principles kuna Chain of command, Authority/ Power , Discipline na Unity of direction.

Ukiwa kama Manager na ukashindwa kusimamia hizi principles , that means wewe ni failure.

Juma inawezekana ni good manager lakini anakosa Fundamental Character Ethics za Management. Aende crush course.

Kitendo cha Dejan kulalamika kutopewa pasi na Okrah despite kwamba yupo kwenye better position Ina nullify Unity of Direction ya timu na kitendo cha kutaka kupigana ina maanisha manager ameshindwa ku executes na ku transfer authority au POWER yake Kama Manager. Kama wameweza Ku misbehaving mbele ya head coach , you can be sure kuwa something is wrong kwenye management ya Juma.

and that means , Kocha has poor management skills .

Mpira wa kisasa unawataka mawinga pia wawe wanashinda magoli hivyo imewapelekea kuwa SELFISH and that is really bad maana lengo la timu ni ushindi na Sio Individual success. Mchezaji kama Okrah hawezi kuwa ni msaada kwenye timu. He is all about himself and immaturity.

Gregory’s theory inasema by nature man is Self centered, so wakati mwîngine as a manager lazima uwe aggressive kuhakikisha kuna Discipline na Utii, otherwise you are going to fail

Klabu ya SIMBA ni kubwa, matukio kama haya yana question UKUBWA wa simba , kuwa hii ni Klabu kubwa au ni Klabu ya wahuni na wavuta Bangi ?

Juma, Hili lifanyie kazi lisijirudie tena .... inaharibu sana CV Yako katika Realms za Management as Head Coach. Hata hivyo kwa miaka 2 sasa benchi la ufundi la simba halina nidhamu. Na hii yote ni dhahiri kuwa failure kwenye management.

The chain of Command.... Order and Power must come from only one person and then it goes down following the chain to the lowest level. Hii kitu simba HAIPO . NI MAMBO YA AJABU NA HOVYO.

Simba, fundisheni Nidhamu wachezaji wenu hasa wale wanaoonekana are not well trained maana ya Team work !
——————
Hata hili litapita mzee, tulishuhudia Mane na Salah inamaana Kloop nae amefeli kwenye mgt?
 
Kocha mwenyewe kingereza cha kuungaunga anaanzaje kuwafokea au kuwakalipia wachezaji wanaozungumza kingereza tu? Raia wengi wa nchi za afrika wanatudharau watanzani kutokana na kutokujua kingereza.
We ni Muongo kuna makocha hawajui kiingereza na wanaheshimika....Mfano kocha Nabi kila mahojiano yake anaongea kifaransa na bado heshima ipo pale pale .....sema mnaona wazungu ndio kila kitu...kumbe hata waafrika wanaweza....
 
Tatizo umeleta upumbavu wa ushabiki mwishoni ila mwanzo umeanza vizuri Simba na Yanga zimeshawatoa akili unaandika hoja nzuri baadae unajidhihirisha umeandika kiushabiki.
 
Back
Top Bottom