Msoga ni mtu wa hovyo, mlafi na mbinafsi asiye na chembe ya UZALENDO. Hivi watanzania tumerogwa MAGUFULI ALISEMA DHAIHIRI NIKIOONDOKA SIJUI NANI ATAFANYA HAYA... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hukuwa nayo kumbe!!..Sasa bwabwajo lote hili la kazi gani!?Tunaomba hiyo Case inayohusu huo Mkataba.
HahahaaNyanoko mnamva,jaga ukalambe loshindo lwang'wa Makamba mnambiti ote na masala!
Dah Unanipa RahaHizo Hela alipe Kalemani, ndiye alikuwa Waziri wakati huo, akishindwa Mali zake na za JPM ziuzwe kupata hiyo fedha
Hii ni ya IPTLWorld Bank court orders Tanzania pay $185 mln to Standard Chartered
Tanzania has been ordered by a World Bank arbitration court to pay $185 million to the Hong Kong subsidiary of Standard Chartered for breaching an energy contract.www.reuters.com
Sorry, too little too late, they have already been paid!.Tunakuomba tuambie sisi Watanzania kabla humjawalipa Symbion
Duh, wamelipwa lini tena? Hii ss itakua breaking news aiseeSorry, too little too late, they have already been paid!.
P
Pascal Mayalla these are the real serious issues to be tabled, discussed and be disposed for the public consumption.Sorry, too little too late, they have already been paid!.
P
Soma contents, Symbion said they were seeking ......, hiyo ni taarifa tu! Gives us the facts of the case , case itself and the ruling/judgment! Na kama ndivyo kwa nini Serikali inakimbilia kulipa bila ku- appeal?! The answer for my question is very simple! " INSIDE JOB WELL DONE"!World Bank court orders Tanzania pay $185 mln to Standard Chartered
Tanzania has been ordered by a World Bank arbitration court to pay $185 million to the Hong Kong subsidiary of Standard Chartered for breaching an energy contract.www.reuters.com
Pamoja na kwamba umeandika kishabiki Sana na ki attack mtu ila kuna haja ya kufahamu je symbion walienda lini mahakamani na hukumu ya kulipwa ikatoka?Mimi binafsi kama Fumadilu Kalimanzila toka ulipoteuliwa kuwa Waziri wa Nishati na ukaanza kuunda Bodi ya TANESCO na haraka sana hata kabla ya kutembelea miradi uliyokuta chini ya Wizara yako kama ule wa Nyerere Hydropower (Stiglers Gorge) ukakimbilia ubalozi wa Marekani kuanza kuomba misaada katika sekta ya Nishati nikaanza kutilia shaka uwezo wako ambao nasema frankly uko overrated!
Makala zangu kuhusu hayo maamuzi yako ya uundaji wa Bodi ya TANESCO na kukimbilia misaada kutoka Marekani ziko humu JF unaweza kuzi- retrieve ukitaka.
Kama nilivyodokeza kwenye Heading ni kwamba tunakutahadharisha ( nasema tunakutahadharisha sisi "like minded people") kuhusu hili la mazingira mnayojenga ya kuilipa Symbion Tshs.bilioni 356 za Watanzania!
Mhe.January toka mwanzo nilikwambia kuwa hii wizara ya Nishati kwa zaidi ya miongo mitatu ndiyo imekuwa " cash cow" kwa wapiga deals kubwa hapa Nchini kuanzia "dubious deals" za IPTL, RICHMOND,DOWANS, TEGETA ESCROW etc.
Na wewe Mhe. January ulipoingia tu Wizara ya Nishati ukaanza na " escape velocity" , tumeona haraka ukawapa wale wahindi contract ya management software ya dola milioni 30 ( karibia bilioni 70 za Tz)! Mchakato wa zabuni hiyo haueleweki!
Tumeona sasa kwa muda wa miezi kadhaa umeme umekuwa ni katika katika! Ukihojiwa na Wabunge na wananchi unasema wanaohoji hawakupenda Mhe.Samia awe Rais wa JMT!
Suluhisho mlilotoa hivi majuzi baada ya kuondoa mambo ya kuwaunganishia wananchi umeme kwa Tshs.27,000/= kama alivyoacha Hayati Magufuli ni sasa kampuni binafsi kuruhusiwa kuwaunganishia wananchi umeme.
Na tunajua kupitia Makampuni yenu hayo mtawaunganishia Wananchi umeme kwa bei tunazoita " cut throat prices "! yaani bei za kukata koo za wananchi!
Hili la Symbion kulipwa Tshs.356 bilioni nalo tuliona mlianza kulijengea mazingira mapema tu baada ya ripoti ya CAG kutoka.
Tunaojua ku- connect dots tukaona mercenary soldier (askari wa kulipwa) wenu Zitto Kabwe akaanza kwa kumkashifu Hayati Rais Magufuli kwa kila namna! Mara Rais fisadi ever kuwahi kutokea Tanzania, Mara wanaompenda wakajizike pembeni yake Chato ( aibu sana kwa mnafiki huyo)!
Sasa leo mnakuja na maneno ya kijinga ( nasema kijinga siyo kipumbavu) eti Symbion walipwe bilioni 356 kwa kuwa Hayati Magufuli alivunja mikataba yao kinyemela!
Halafu kwa ujinga mnaweka na mapicha eti walishindwa kulipa hadi Wafanyakazi!
Mhe.January Makamba kaeni mkijua kama alivyowahi kusema Hayati Rais Magufuli kwamba Watanzania si wajinga! Nami nakazia kuwa Watanzania wote si wajinga!!
Tunakuomba Mhe.Waziri January Makamba tuambie sisi Watanzania kabla humjawalipa Symbion bilioni zetu 356 ni Mahakama gani hiyo ime- adjudicate na kusema Mkataba wao ulivunjwa kinyemela na kuwa- award hiyo decree mnayokwenda kuwalipia hiyo bilioni 356!!
Tunaomba Namba ya hiyo Case nasi tuweze kujiridhisha na kama kuna grounds za Appeal tuweze kushauri!
Na kama mtawalipa bila kuwa wazi basi hizo mtakazolipa ni fedha zenu si za Watanzania na mkae mkijua IPO siku mtazirejesha !!!
Sawa ya symbion ilikuwa ina seek,sasa vipi Kuhusu hao standard chartered bank mlishawalipa deni zao au mnasubiria waje kushika mali zetu tena?Soma contents, Symbion said they were seeking ......, hiyo ni taarifa tu! Gives us the facts of the case , case itself and the ruling/judgment! Na kama ndivyo kwa nini Serikali inakimbilia kulipa bila ku- appeal?! The answer for my question is very simple! " INSIDE JOB WELL DONE"!
But mind you, there comes a time where no stone will be left unturned!
Dawa ya deni ni kulipa,mandege mumenunua yamepaki hampewi access kwa sababu za ujinga wa sukuma gang..Sujui mama Samia anamlipa fadhila mtu? Uteuzi wa huyo jamaa na timu nzima kule nishati ni utata mtupu. Anyway, Marekani ndio mkoloni / beberu la Tanzagiza.
Wewe na Magufuli wako ni wapumbavu na majizi kwa mgongo wa Uzalendo..Msoga ni mtu wa hovyo, mlafi na mbinafsi asiye na chembe ya UZALENDO. Hivi watanzania tumerogwa MAGUFULI ALISEMA DHAIHIRI NIKIOONDOKA SIJUI NANI ATAFANYA HAYA... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa nini uvunje mkataba wakati unajua utakula hasara kubwa? Huu si ndio uhujumu uchumi?Anahusika yeye na zitto wakati wa kusaini mkataba wa symbion kipindi cha JK...kama leo serikali inaamua kulipa symbion wahusika wote walioshiriki kuasisi na kusaini huu mkataba mbovu watajwe na wachukuliwe hatua kali kama wahujumu uchumi ..ni ukweli kwamba kama serikali isingevunja huu mkataba hasara ingekuwa kubwa kuliko hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Unfortunately huwezi justify hii allegations yako..Nijuavyo mimi ni kwamba, hizo Bilioni ni madili ya watu tu, hakuna cha symbion wala nini.
Wanajaribu kuwadanganya Watanzania kwa kisingizio hicho, lakini hizo fedha zote zitaingia mikononi mwa MBWA MWITU wasio na huruma hata kidogo kwa Watanzania.
Mbaya zaidi ni kwamba, ule mnyororo wa UFISADI alioukatakata JPM umeunganishwa upya na sasa wapo kazini kufidia miaka 5 ya JPM ambapo walishindwa kuiba.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
Mumeshailipa?