Hili la Symbion kulipwa Tshs. Bilioni 356, January Makamba tunakutahadharisha mapema

Hili la Symbion kulipwa Tshs. Bilioni 356, January Makamba tunakutahadharisha mapema

Sorry, too little too late, they have already been paid!.
P
hahaha...naona umefunga mjadala...tatizo la hii nchi,,hao wanaojifanya wazalendo, ni kwa sababu wako nje ya system ya upigaji, wakipewa nafasi, na wao wanageuka wapiga dili!
 
Nijuavyo mimi ni kwamba, hizo Bilioni ni madili ya watu tu, hakuna cha symbion wala nini.

Wanajaribu kuwadanganya Watanzania kwa kisingizio hicho, lakini hizo fedha zote zitaingia mikononi mwa MBWA MWITU wasio na huruma hata kidogo kwa Watanzania.

Mbaya zaidi ni kwamba, ule mnyororo wa UFISADI alioukatakata JPM umeunganishwa upya na sasa wapo kazini kufidia miaka 5 ya JPM ambapo walishindwa kuiba.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
Tatizo Magufuli alitawala nchi kiupendeleo sana...kakikundi ka wateule wake wachache, walinufaika mno! niambie, Makonda aliekuwa mkuu wa mkoa tu, alipata wapi pesa ya kununua kiwanja kwa milioni 600, hata Magufuli alikuwa mwizi tu
 
Makamba, Makamo mwenyekiti, ukanda wote wa Msoga... HAWA KIHISTORIA NI MAJIZI , NI MAJIZI NA HAYANA HURUMA YOYOTE YA NCHI HII.


kinachoniuma, Tuna Taasisi ya Usalama Mbovu mbovu kupindukia, wao wanadeal na Wapinzani tu.


Haya, Katiba ya Nchi nayo pamoja na Ubovu wake wote, IMEKOSWA KIONGOZI WA KUISIMAMIA .





ITACHUKUA MIAKA MINGI SANA KUMPATA MAGUFULI MPYA.


saizi Kila mtu anajipigia, shamba la bibi!!!.... Anasimama mtu anakuambia "Nimeamua kufanya hii ROYO TUWA , kuitangaza nchi !!


Ujinga na Aibu kubwa ilofadhiliwa na wafanyabiashara ambao Sasa ndio wanaenda kulipwa mabilioni.
Magufuli nae alikuwa mwizi tu, na wateule wake wachache, niambie,Makonda aliekuwa mkuu wa mkoa tu, utajiri wake wote aliupataje kipindi cha Magufuli?
 
Back
Top Bottom