Hili la Symbion kulipwa Tshs. Bilioni 356, January Makamba tunakutahadharisha mapema

Sorry, too little too late, they have already been paid!.
P
hahaha...naona umefunga mjadala...tatizo la hii nchi,,hao wanaojifanya wazalendo, ni kwa sababu wako nje ya system ya upigaji, wakipewa nafasi, na wao wanageuka wapiga dili!
 
Tatizo Magufuli alitawala nchi kiupendeleo sana...kakikundi ka wateule wake wachache, walinufaika mno! niambie, Makonda aliekuwa mkuu wa mkoa tu, alipata wapi pesa ya kununua kiwanja kwa milioni 600, hata Magufuli alikuwa mwizi tu
 
Magufuli nae alikuwa mwizi tu, na wateule wake wachache, niambie,Makonda aliekuwa mkuu wa mkoa tu, utajiri wake wote aliupataje kipindi cha Magufuli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…