Hili la Uchumi Supermarket kutuuzia mifuko yenye nembo zao waache

Hili la Uchumi Supermarket kutuuzia mifuko yenye nembo zao waache

Ujinga upo wapi hapo ewe mwenye busara Batili

Sijasema nabusara, nimesema wacha ujinga, soma kebehi uliondika alafu soma na maelezo yangu utajua umeandika ujinga. Mambo mengine ni yakitaalam sio kukurupuka.
 
Last edited by a moderator:
Nimenunua maziwa na mkate, nafika counter baada ya kuingiza hesabu zao wakaniambia mfuko unalipiwa , nikawaambia warudishe Pesa yangu ni bidhaa yao wachukue siwezi kulipia mfuko tena wenye nembo yao.

Muhudumu akamuita supervisor wake akaniruhusu kutoulipia. Wajinga sana management

Sawa ndugu utunze wakati mwingine urudi nao
 
Sijasema nabusara, nimesema wacha ujinga, soma kebehi uliondika alafu soma na maelezo yangu utajua umeandika ujinga. Mambo mengine ni yakitaalam sio kukurupuka.

Sawa mtaalam
 
Nimenunua maziwa na mkate, nafika counter baada ya kuingiza hesabu zao wakaniambia mfuko unalipiwa , nikawaambia warudishe Pesa yangu ni bidhaa yao wachukue siwezi kulipia mfuko tena wenye nembo yao.

Muhudumu akamuita supervisor wake akaniruhusu kutoulipia. Wajinga sana management

Kwa jinsi ulivokua ukilalamika nilipofikishiwa taarifa na mhudumu nikaona nikuachie mfuko kwa ustaarabu na kama njia ya kuretain customer.. sasa huku unatuita wajinga tena!?? Na kusema eti ulitaka rudisha bidhaa haaaahaaah!!
 
Kuuziwa mifuko ya plastic ni karibu dunia ndiko inakoelekea. Kwa Tanzania huenda itasaidia kupunguza uchafuzi wa mazingira. Tanzania , na hasa Dar es Salaam pananuka sana. Mitalo yote imezibwa na mifuko ya plastic. Mifuko ya plastic na nywele za plastic zinatupwa ovyo ovyo. Naona kinyaa sana.
 
Kuuziwa mifuko ya plastic ni karibu dunia ndiko inakoelekea. Kwa Tanzania huenda itasaidia kupunguza uchafuzi wa mazingira. Tanzania , na hasa Dar es Salaam pananuka sana. Mitalo yote imezibwa na mifuko ya plastic. Mifuko ya plastic na nywele za plastic zinatupwa ovyo ovyo. Naona kinyaa sana.

Very true. Hata mifuko ya sabuni inaboa. Wauze kwenye mabox
 
Back
Top Bottom