Ujinga upo wapi hapo ewe mwenye busara Batili
Sijasema nabusara, nimesema wacha ujinga, soma kebehi uliondika alafu soma na maelezo yangu utajua umeandika ujinga. Mambo mengine ni yakitaalam sio kukurupuka.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga upo wapi hapo ewe mwenye busara Batili
Nimenunua maziwa na mkate, nafika counter baada ya kuingiza hesabu zao wakaniambia mfuko unalipiwa , nikawaambia warudishe Pesa yangu ni bidhaa yao wachukue siwezi kulipia mfuko tena wenye nembo yao.
Muhudumu akamuita supervisor wake akaniruhusu kutoulipia. Wajinga sana management
Sijasema nabusara, nimesema wacha ujinga, soma kebehi uliondika alafu soma na maelezo yangu utajua umeandika ujinga. Mambo mengine ni yakitaalam sio kukurupuka.
Nimenunua maziwa na mkate, nafika counter baada ya kuingiza hesabu zao wakaniambia mfuko unalipiwa , nikawaambia warudishe Pesa yangu ni bidhaa yao wachukue siwezi kulipia mfuko tena wenye nembo yao.
Muhudumu akamuita supervisor wake akaniruhusu kutoulipia. Wajinga sana management
ivi huko supa maket kuna nini vya ziada ambavyo havipatikanagi mtaani?
Kuuziwa mifuko ya plastic ni karibu dunia ndiko inakoelekea. Kwa Tanzania huenda itasaidia kupunguza uchafuzi wa mazingira. Tanzania , na hasa Dar es Salaam pananuka sana. Mitalo yote imezibwa na mifuko ya plastic. Mifuko ya plastic na nywele za plastic zinatupwa ovyo ovyo. Naona kinyaa sana.