ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hawa watu wanafamili. Hawaoni aibu kwa ujinga wao huu!?Kweli njaa mbaya sana lkn yao imezidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu makauzu kichizi hawaoni hata aibuHawa watu wanafamili. Hawaoni aibu kwa ujinga wao huu!?Kweli njaa mbaya sana lkn yao imezidi
Hapo naona Nyani Ngabu yupo kazini enzi zakeKila zama na kitabu chake, Kulikuwa na Club Magufuli ni muendelezo wa maarifa na fikra alizotuachia
View attachment 2700007
Wewe mwanachama wa CCM u7nawaogopa chawa wa mama. Chawa wana kazi yao na CCM ina kazi yake. Chawa wa mama siyo lazima awe CCM. Chawa wa mama kazi yao kuwamulika wana CCM wasiompenda mama. Wewe kama haumo kwenye kundi hilo unaogopa nini. Wacha nao watafute chakula cha watoto. Uchawa ni kazi kama kazi nyingne kama ualmu, udaktari au uzibuaji choo. Hakuna kazi mbaya!Mimi mwanaCCM mwenye kadi hai ya chama ila hiki wanachokiita CHAWA WA MAMA sikubaliani nacho kabisa. Hicho ni kikundi cha wahuni wanaokichafua chama. Kamati ya maadili ipige marufuku vikundi vya kihuni kama hiki cha Chawa wa Mama. Fikiria mtu kama Maimartha ni mwenyekiti wa hili genge kitaifa!!!.. inaumiza sana kuona upuuzi kama huu unafumbiwa macho ndani ya chama.
Chama kimeshawapiga marufuku.Wewe mwanachama wa CCM u7nawaogopa chawa wa mama. Chawa wana kazi yao na CCM ina kazi yake. Chawa wa mama siyo lazima awe CCM. Chawa wa mama kazi yao kuwamulika wana CCM wasiompenda mama. Wewe kama haumo kwenye kundi hilo unaogopa nini. Wacha nao watafute chakula cha watoto. Uchawa ni kazi kama kazi nyingne kama ualmu, udaktari au uzibuaji choo. Hakuna kazi mbaya!