Nyangabo2022
Senior Member
- Nov 13, 2022
- 126
- 195
Ndg wanaforum nmiona nlilete kwenu swala linalohusu mkulima kutozwa ushuru wa mazao hata ikiwa gunia moja wakat anapita geti la ushuru atokapo shamba kwenda kuhfadhi mazao yake,
Ni Jambo lilonitia hasira Sana kutokana na matamko ya viongozi wakubwa wa nchi yetu kuwa ni marufuku kulipa ushuru kw mzgo chin ya Tani 1 lakin huku kusini wanalazmisha hata kigunia kimoja. Je hili lipoje? Limenitokea miaka miwl mfululizo juz nmelipa ushuru kwa gunia mbili?,
Mikoa km Ruvuma kuko nyuma Sana ni km serkali haipo huku Mambo mengi hayako sawa.
Ni Jambo lilonitia hasira Sana kutokana na matamko ya viongozi wakubwa wa nchi yetu kuwa ni marufuku kulipa ushuru kw mzgo chin ya Tani 1 lakin huku kusini wanalazmisha hata kigunia kimoja. Je hili lipoje? Limenitokea miaka miwl mfululizo juz nmelipa ushuru kwa gunia mbili?,
Mikoa km Ruvuma kuko nyuma Sana ni km serkali haipo huku Mambo mengi hayako sawa.