Nimekuelewa vizuri, sema nimekujibu ile topic ile kule kwa kutumia hii ktk kigezo hiki.
Turudi kwa topic.
Una negotiate ukiona negotians zako hazi make through unajitoa. Kama UK walivyonegotiate wakashindwa wameamua kujitoa. Hiyo haina maana kuwa huna msimamo, hiyo ndo ina maana unawezo wa ku stand kwa miguu yako.
On top if any, inawezekana je uwe na free market bila free movement ya watu? just curious to know. Wao wanakuja kupatia VIZA airport kwa kujaza tu jina na tarehe ya kuzaliwa kwenye ka form uchwara. Wewe omba sasa VIZA ha ha ha, samaki na ndizi zako zote zitaoza kabla hata yakupata VIZA.
Free market inaendana na free movement ya watu, unaenda kutafuta soko kwanza na wadau. Wao wangeanza kwanza kwa ku scrap VIZA watu wa roam EU bila viza, Just to say the least. Pili swala la standard la bidhaa liangaliwe upya, bidhaa zetu very hardly zita pass std yao wana visababu vingi mno vya kuzuia bidhaa zetu zisingie sokoni kwao.
Mwisho, tume negotiate tumeshindana, tumekataa ku sign mkataba wao, sasa hiyo ni weakness ama ni sehemu ambayo tuko strong? Nafikiri tungekuwa weak kama tungesaini harafu baadae tukaaanza kulalamika na kutaka kujitoa kama UK.
Kama chief Magungo alivyosaini mikata ya kilaghai akaja kulazimisha akina Mkwawa kupigana hadi kufa kwa kulalamikia hizo treaty. Hiyo ndo weakness, mkuu.
Ndio maana nikasema hujanielewa, na sio wewe tu, wote mnaojibu naona hamjanielewa, nimekuomba urejelee bandiko langu upya.
Mimi sina matatizo na msimamo wenu, mnaweza mkawa na mantiki, hoja yenu ya msingi inaweza ikawa sahihi, wala hilo sina shida nalo.
eeh bwana nani kakuambia maisha Kenya ni magumuNdugu wakenya huko kwao ni choka mbaya sana we acha tu bongo kutamu sana ukiwa mjanja ulali njaa
Do you have anything to teach M7?
74 arrested in Rochester, New York
The protests in Rochester, New York on Friday resulted in 74 arrests, the city's police chief Michael Ciminelli said in a news conference.
"This is as accurate as I can say at this point. There were 74 arrests for disorderly conduct. There were also two charges of resisting arrest," Ciminelli said.
Black Lives Matter protesters return to the streets - CNN.com
Hawa ma racists Policemen kiboko yao ni sharp shooter snipers wawape fundisho kidogo ili wajirekebishe na kijua kwamba Black lives also matters.
Sio kwamba napigia debe mauuaji lakini Polisi wa Marekani wamezidi kwa uonezi wa watu weusi.
Ulifukuzwa kwenu
huyo snipper alikuwa hatari sana. Yani ana sniff polisi tu mpaka 12.
Kweli inauma maana mnatuchelewesha wakati ulimwengu wa sasa unataka mambo yafanywe kwa kasi, kwa kingereza tunaita "thinking on your feet", viongozi wenye uwezo wa kuangalia issue, kuwaza na kwa muda mfupi kufanya maamuzi yenye busara. Sio kila siku mnaibuka na "tutakutana tukae"
Halafu mnakosa maamuzi ya kueleweka, maana mnachokatalia leo, mnakikubali kesho halafu mnaghairi kesho kutwa tena mnakubalia mtondogoo, hicho hicho cha mwanzo. Tunaheshimu maamuzi yenu, haswa kama yanalenga kuwanufaisha Watanzania, lakini mfanye maamuzi na kuja na msimamo mmoja ambao unaeleweka na kutiwa muhuri. Lakini hili la leo hiki, kesho kile....
Huo mnaita uzalendo na umakini wenu kwenye kufanya maamuzi nina mashaka nalo maana nchi yenu bado inaliwa, mna madini lakini bado maskini kweli.
Iconoclastes, so far Uganda plus Rwanda have found a right partner in Tanzania! They r not regreting going south!
Kenya was offering a raw deal to both Uganda n Rwanda! Take example of a blockade on sugar, eggs n chicken from Uganda n a violation of BASA Agreement n 5th freedom right to Rwandair issued by Uganda btn Uganda n Kenya routes.
Tatizo kuu kwa jamaa zetu hawa wanakuwaga na an inflated view of their importance katika kanda yetu hii ya Africa Mashariki - remnant ya colonial mentality is still embeded kwenye mbongo zao - itachukua karne kuwa- arased completly.
Hawana kitu chochote cha kuwafunza raia na viongozi wa Africa Mashariki, wafanye mambo yao ambayo wafikiri yana manufaa kwao lakini wasitake kulazimisha Nchi nyingine zi comply na mambo yao yanayo tia shaka.
Sisi Watanzania tuna waamini Viongozi wetu kwamba hawawezi kujaribu kutumbukiza Taifa letu kwenye uncharted waters, mataifa/Viogozi wanao shinikizwa na nchi za magharibi kupitia a fast track avenue wakajikuta wana-sign makubaliano bila ya kutafakali long term implication yake watakuja kujilahumu as days goesby - sisi kama Watanzania ujinga wa karne ya kumi na nane wa Chief Mangongo atuwezi kuurudia tena.
KabisaKwanini Kenya haiwezi kufanya kitu Bila tz, Kwani sisi ni baba zanu? Kuna mmeona ni dili sana fanyeni wenyewe cc mtuache bn
Endelea kijitapa hapa.
Hakuna aliewashika mashati msiende kuweka saini huo mkataba.
Kifupi ni kwamba, Tanzania haipelekeshwi kishamba hivyo.
Kama wanawachelewesha watoeni EAC basi. Mbaki nyie wenye haraka.
eeh bwana nani kakuambia maisha Kenya ni magumu
sasa kwanza nani kakuambia wazungu tunawashobokea utasemaje kuhusu wannamuziki wenu ambao kamwe hawatamhusisha dada mweusi katika video zao akina diamond Ben Paul nk aafu mnavyopenda kujibleach eti ndio mkue weupe zaidi mkuu kauli yako kuhusu hili nini?kibera hata haina zaidi ya witu laki moja we bwege kwani wakenya wote ni laki moja tu? Kenya real estate ni sekta inayokuwa kwa kasi sana saa unataka kusema kwamba wahindi na wazungu walio asilimia moja tu ya idadi ndio wanaoishi hapo wenyewe umewahi kuja Kenya ukaona sehemu ilio wazunguu pekee aliyeposti hiyo ni bwege kama wewe na nikuulize tu mkuu hapo dar hakuna wazungu niambie mgodi gani Tanzania unaosimamiwa na mtanzania kaka kabla uje hapa kubwata vikiria ya kwenuView attachment 364661 nyie endeleeni kushobokea hizo ngozi nyeupe wenzenu walio huko juu wanafaidika we mpiga raundi huku jf badae urudi kwenye fulu suti lako la mabati mana hata hao wageni hawataki kukaa na nyie mnaowashobokea
Mkuu remarks zako zenye busara zimenikumbusha wimbo wa Marquis du Zaire - It goes:
"Usiende mbio mbio kukimbikia MLIO, kumbe unako kimbilia kuna KILIO - utapatwa na ajali/maafa watu watakushangaa!!"
Sijui kama nimepatia beti zake, lakini wimbo huu unasema jambo la maana sana - sina shaka wenzetu kuna kitu watajifunza kutokana ni wimbo huo wenye hekima.
Na nyie mnavyopigia kelele huko vyakwenu?Endeleeni kulamba miguu na kudhani na nyie mtakuja kua kama hao mabwana zenu we piga tarumbeta tu wenye vyao wanajiliasasa kwanza nani kakuambia wazungu tunawashobokea utasemaje kuhusu wannamuziki wenu ambao kamwe hawatamhusisha dada mweusi katika video zao akina diamond Ben Paul nk aafu mnavyopenda kujibleach eti ndio mkue weupe zaidi mkuu kauli yako kuhusu hili nini?kibera hata haina zaidi ya witu laki moja we bwege kwani wakenya wote ni laki moja tu? Kenya real estate ni sekta inayokuwa kwa kasi sana saa unataka kusema kwamba wahindi na wazungu walio asilimia moja tu ya idadi ndio wanaoishi hapo wenyewe umewahi kuja Kenya ukaona sehemu ilio wazunguu pekee aliyeposti hiyo ni bwege kama wewe na nikuulize tu mkuu hapo dar hakuna wazungu niambie mgodi gani Tanzania unaosimamiwa na mtanzania kaka kabla uje hapa kubwata vikiria ya kwenu
Duuuuh...afadhali Tanzania imegoma aiseee! Nimesoma nayo maelezo...mmmmhh...ni risk hamna prospect ya gain yoyote zaidi ya dumping!!!