Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Bomu kubwa sana...
 
Tunahitaji watu wawe wasafi, ili kunogesha mahusiano

Kaka kwani wifi nae anaendaga salon kung'olewa nywele za kwapa na kipochimanyoya na kusuguliwa; au unamng'oa na kumsugua mwenyewe☺☺☺
 
Kaka kwani wifi nae anaendaga salon kung'olewa nywele za kwapa na kipochimanyoya na kusuguliwa; au unamng'oa na kumsugua mwenyewe☺☺☺
Ha ha ha kwa mke/mama watoto wangu hapana kabisa, huwa tunasaidiana; ila kwa viburudisho (michepuko) inabidi waje wakiwa vipara kabisa ili kunogesha uwepo wao.
 
Ha ha ha kwa mke/mama watoto wangu hapana kabisa, huwa tunasaidiana; ila kwa viburudisho (michepuko) inabidi waje wakiwa vipara kabisa ili kunogesha uwepo wao.

Hahahaa una balaa sana wewe😂😂😂
 
Sasa Wewe umejuaje wanasuguliwa haswa'?
 
Na mimi limenishangaza hilo eti kila wiki unaenda kusuguliwa kiharage
 
Soon tutakuja okota ndoa kadhaa mitaroni
Si kila huduma uwe mteja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…