[emoji1666][emoji1666][emoji106]MK254 amekuuliza swali zuri Sana, na amekuwekea hotuba ya Nyerere, sidhani Kama umejibu swali lake, kujua dini na kabila la mtu itasaidia nini katika dunia ya Sasa inayotumia alama za vidole(Biometric data) katika kujua utambulisho wa mtu?
Itasaidia nini kwenye kuongeza performance na efficiency ya huyo mtumishi?Kabila lake na dini yake kwa kifupi kujua asili yake
Pumba tuu... Mfano mahakamani sijawahi kuona faida ya kuapa kwani bado hao walioapa wanasema uongo na kuleta vielelezo vya uongo/forgery na hakimu/jaji anaona na hafanyi lolote... Nitajie case ambapo mtu alishindwa kuongea Kiswahili akaletewa mkalimani aongee kikwao...Kutaja dini na kabila ipo sehemu nyingi tu hata mahakamani nia yake hasa ili uhudumiwe vizuri kwa kuwa kuna utofauti kwenye dini na dini mfano mahakamani unahitajika kuapa pia kujua kabila lako linasaidia pia kwenye mahakama kama itahitajika mkalimani. Kwenye utumishi wa umma inasaidia katika kumpangia mwajiriwa sehemu ya kufanyakazi au kutoa huduma isije ukajikuta kabila au dini fulani wamepangia sehemu au idara fulani pekee yao. Ila TZ hakuna ukabila kama ulivyo Kenya mimi nilifanyakazi Kenya miaka kama nne nilichokiona huko kazini ni aibu hata kwenye bar hasa wajaluo na wakikuyu ukijichanganya tu mjaluo au mkikuyu akaenda kunywa kwenye bar ya wakikuyu au wajaluo anaweza kuwekewa hata sumu wakati TZ hicho kitu hakipo kabisa.
Kutokua au kuwa na kabila ni tatizo?Kama huna kabila ni wewe and it's your problem. Hata hivyo nami napinga vikali kuwa kabila na dini kwenye CV za watumishi. Ndiyo maana CAG Pror Assad alisema hatuna viongozi wenye uwezo...
Kujua watu wake mbona sensa mnafanyaAsili ya mtu inasaidiaje serikali?
🤣🤣Uliambiwa wanaongeza performance kwa wapi usiwe na harakaItasaidia nini kwenye kuongeza performance na efficiency ya huyo mtumishi?
Haya tupatie pia madhara yake ni yapi kukitajwa kabila na dini yakoKwamba kutajana kwa dini kutasaidia nini haswa, mbona mnakiuka hii hotuba ya Nyerere ambaye hata kumkosoa huwa kama kufuru au jinai
https://www.jamiiforums.com/data/at...wenye_Mkutano_Mkuu_wa_CCM_Dodoma_1995360p.mp4
Na wew pia tupe madhara ya kujua dini na kabila lakoMK254 amekuuliza swali zuri Sana, na amekuwekea hotuba ya Nyerere, sidhani Kama umejibu swali lake, kujua dini na kabila la mtu itasaidia nini katika dunia ya Sasa inayotumia alama za vidole(Biometric data) katika kujua utambulisho wa mtu?
Wewe una wasiwasi gani hawajasema kwamba iyo ni kuongoza performance ishu ni kuleta uswa mlishachomekana sana huko nyuma Magufuli akaja na vyeti feki wengi walikamatwaKwa hiyo performance ya mtumishi wa serikali inategemea dini na kabila lake siyo?
Msikilize Nyerere alisema hilo swali kwenye sensa waliona halina maana wakaliondoaKujua watu wake mbona sensa mnafanya
Usiwe na wasi halina athari ubaguzi utakuwepo tu mileleMsikilize Nyerere alisema hilo swali kwenye sensa waliona halina maana wakaliondoa
Tunauliza ili tupate taarifa ambazo baadae tunazifanyia kazi, tukijua dini na kabila za watu, tunafanyia kazi gani?,Na wew pia tupe madhara ya kujua dini na kabila lako
Kuanza kuulizana makabila na dini za watu ni upumbavu na ni hatari(JK Nyerere)Usiwe na wasi halina athari ubaguzi utakuwepo tu milele
Huyo mkenya anapenda sana kujifananisha na watanzania. Utadhani huko kwao hakuna ukabila.Umeielewa hiyo hotuba ya Nyerere? Au ni c&p tu?