i think
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 361
- 72
Hili ni jambo la kheri pale mwanaume anapoenda nyumbani kwa mwanamke ambaye anamini anafaa kuwa mke wake na kutoa posa.
Siingilii uamuzi wa MANAIK SANGA kutaka kufanya hvyo lakin je mwanajf jchukuliwe wewe ni mzazi au ndugu wa JACK WOLPER.
MANAIK SANGA ANAKASHFA KUBWA YA KUPGA PCHA CHAFU ZAIDI YA 100 TENA AKIWA NA WANAWAKE ZAID YA 50.
Kama ni ndugu wa WOLPER unaweza kumkabdh kijana kama huyu ambae ana mawazo ya kupata umaarufu kuptia utupu wa mabinti.
Au MANAIKI amesahau kuwa ana kashfa kubwa na angepaswa kunyamaza na kufanya kwa vitendo juu ya POSA.
MANAIKA amesema watz hatujui uzur wa wanawake wa kbongo yeye anajua uzur wa WOLPER na anaona ndiye mwanamke atakayemfaa.
Hivi kwa kauli hii inaunyesha anataka mke wa familia au mschana mrembo kama jack.
Anyway wanaume kauli uonyesha lengo letu mbeleni kauli za matamanio huweza kuwashka wanawake wasiojtambua.
Simsemi vbaya MANAIKI n moja ya mahard work wa nyuma ya kamera katka FILAMU ZA KIBONGO.
Siingilii uamuzi wa MANAIK SANGA kutaka kufanya hvyo lakin je mwanajf jchukuliwe wewe ni mzazi au ndugu wa JACK WOLPER.
MANAIK SANGA ANAKASHFA KUBWA YA KUPGA PCHA CHAFU ZAIDI YA 100 TENA AKIWA NA WANAWAKE ZAID YA 50.
Kama ni ndugu wa WOLPER unaweza kumkabdh kijana kama huyu ambae ana mawazo ya kupata umaarufu kuptia utupu wa mabinti.
Au MANAIKI amesahau kuwa ana kashfa kubwa na angepaswa kunyamaza na kufanya kwa vitendo juu ya POSA.
MANAIKA amesema watz hatujui uzur wa wanawake wa kbongo yeye anajua uzur wa WOLPER na anaona ndiye mwanamke atakayemfaa.
Hivi kwa kauli hii inaunyesha anataka mke wa familia au mschana mrembo kama jack.
Anyway wanaume kauli uonyesha lengo letu mbeleni kauli za matamanio huweza kuwashka wanawake wasiojtambua.
Simsemi vbaya MANAIKI n moja ya mahard work wa nyuma ya kamera katka FILAMU ZA KIBONGO.