katika hali ya kawaida mtu hawezi kukutongoza kwa kulazimisha hivyo kwa mujibu wa stori umeona mpaka kulikuwa na upiganaji kidogo hadi jino limetoka.je kama mdada angezidiwa nguvu huoni kulikuwa na uwezekano wa kubakwa.sasa apo huelewi nini wanawake wawe makini na watu ambao hawaeleweki.