Mi najua mtu anaweza kunza na tusi mwanzo mwa sentensi afu akamalizia nyokoHawa wanaobisha usikute hata kamusi za Kiswahili hawana na huenda hata hawajawahi kujisumbua kuzisoma.
Hata kinyakyusa nyoko ni mama
Uziguani kwetu... Pia inamaanisha mama ila sisi twasema nyokwe
Kikwetu nyoko ni Mama
He Nyani Ngabu mimi ni mzaliwa wa humu pwani na sina lugha nyengine zaidi ya kiswahili.
Lakini sijawahi kusikia neno hilo likiwa na maana ya 'mama', bali si neno zuri kulisema hadharani kama alivyoongea huyu mleta mada.
Labda kwa lugha nyengine za kikabila.
Nyoko ni kiswahili,hata kwa makabila ya wahaya na wanyambo nyoko =mama,but tukubaliane kuwa matumizi yake ya awali lilikua likitumika kama tusi likianza na "prefix" inayotaja kiungo cha uzazi cha kike!
nyoko ni mama kwa kibena
Ahseee..! Kwahyo mnataka kuniambia leo hii nikimuita mama 'nyoko' atanielewa.
Acheni bange hzo. Lugha inabadilika kutokana na wakati, jamii husika na unae ongea nae. Acheni kupotosha.
Nyoko litabaki kuwa tusi.,, 'abusive language'
Nyoko sio tusi kwa kibantu nyoko ni mama hata kule kwetu south tatizo ni lugha za mtaani ndo neno hilo lilitumika vibaya
Kwa lugha zenu za kibantu za kipimbi, endeleeni waita mama zenu nyoko.
Mama yako nyoko, na kamsalimie hivi .. 'SHKAMOO NYOKO'.., then utuletee mrejesho.
Kwa kiswahili neno hilo ni taboo/mwiko.
kwa hiyo vijana wanaposema jamaa ni nyoko wanamaanisha jamaa ni mama au wanatumia bila kujua???????????
duuh
ila hili tusi silipendi
CHOKO WEWE japo sieleqi maana halisi ya choko