Hili lililomkuta Bashe liwe fundisho kwa Mawaziri

Hili lililomkuta Bashe liwe fundisho kwa Mawaziri

Viongozi wa kiafrika,hawana utamaduni wa kujiuzulu.
Hata ingekuwa mimi sijiuzuru kwani nisipojiuzuru kuna hasara gani?

1. Gari VXR unapewa bure
2. Bima
3. Malupulupu kibao
4. Mshahara mnono
5. Nyumba unapewa na serikali
6. Mafuta ya gari serikali inakuhudumia


Halafu nijiuzuru nijipeleke kwenye shida!
 
Watu huwa ni kama hawamuelewi mpina.....this guy is so logical,wabunge wengi hudhani mpina ana ghubu ya kuvuliwa uwaziri.
Napenda sana michango yake, anaona tatizo na kulitolea ufumbuzi.
Bashe kujifanya kujibu hoja konki ya Mpina na ka kingereza uchwara amelamba matapishi.

Ety'' is very danger''... Bure kabisa.
 
Leo Waziri wa Kilimo ametamka hadharani kuurejesha Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea BPS ambao ulifutwa Juni 2021 na kusababisha mfumko mkubwa wa bei za Mbolea nchini kwani wafanyabiashara waliuza mbolea kwa bei wanayoitaka wao bila kuwepo usimamizi wa Serikali.

Jambo hili lililalamikiwa sana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina bungeni lakini Waziri Bashe alitangaza bungeni kumshutumu Mpina kwamba nI Mbunge wa muda mrefu ni hatari kupotosha Bunge na kwamba kwenye suala mbolea yuko tayari kwa lolote juu ya anachokiamini kuhusu mbolea na alitumia neno Im ready to bare any cost for what is what i believe. sasa kwa hili ni vizuri Bashe akachukua hatua kwa kujiuzulu kama alivyolitangazia Bunge


Naomba kujuzwa huo Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea BPS unavyofanya kazi?
BPS ni ufupisho wa nini?
 
Leo Waziri wa Kilimo ametamka hadharani kuurejesha Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea BPS ambao ulifutwa Juni 2021 na kusababisha mfumko mkubwa wa bei za Mbolea nchini kwani wafanyabiashara waliuza mbolea kwa bei wanayoitaka wao bila kuwepo usimamizi wa Serikali.

Jambo hili lililalamikiwa sana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina bungeni lakini Waziri Bashe alitangaza bungeni kumshutumu Mpina kwamba nI Mbunge wa muda mrefu ni hatari kupotosha Bunge na kwamba kwenye suala mbolea yuko tayari kwa lolote juu ya anachokiamini kuhusu mbolea na alitumia neno Im ready to bare any cost for what is what i believe. sasa kwa hili ni vizuri Bashe akachukua hatua kwa kujiuzulu kama alivyolitangazia Bunge


Liwe fundisho kweli hasa kwa wale mawaziri wanaopenda kupandisha mabega na kujifanya wanajua kila kitu badala ya kusikiliza hoja za wabunge ambao kimsingi ndio waliopewa jukumu la kuisimamia Serikali.
 
Liwe fundisho kweli hasa kwa wale mawaziri wanaopenda kupandisha mabega na kujifanya wanajua kila kitu badala ya kusikiliza hoja za wabunge ambao kimsingi ndio waliopewa jukumu la kuisimamia Serikali.
bashe ni kiongozi mzuri ila hapa alipotoka sana lakini nimeona akiwa kilosa alitangaza kurejesha mambo yote yaliyoshauriwa na Mpina ikiwemo BPS, BEI ELEKEZI NA USIMAMIZI MZURI WA RUZUKU
 
Back
Top Bottom