Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Hata ingekuwa mimi sijiuzuru kwani nisipojiuzuru kuna hasara gani?Viongozi wa kiafrika,hawana utamaduni wa kujiuzulu.
Hata mimi, badala dangerous anasema it is very dangerWaziri anatamka "It is very danger! " Nimestushwa na sentensi mbovu kama hii kutolewa na waziri!
Naomba kujuzwa huo Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea BPS unavyofanya kazi?Leo Waziri wa Kilimo ametamka hadharani kuurejesha Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea BPS ambao ulifutwa Juni 2021 na kusababisha mfumko mkubwa wa bei za Mbolea nchini kwani wafanyabiashara waliuza mbolea kwa bei wanayoitaka wao bila kuwepo usimamizi wa Serikali.
Jambo hili lililalamikiwa sana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina bungeni lakini Waziri Bashe alitangaza bungeni kumshutumu Mpina kwamba nI Mbunge wa muda mrefu ni hatari kupotosha Bunge na kwamba kwenye suala mbolea yuko tayari kwa lolote juu ya anachokiamini kuhusu mbolea na alitumia neno Im ready to bare any cost for what is what i believe. sasa kwa hili ni vizuri Bashe akachukua hatua kwa kujiuzulu kama alivyolitangazia Bunge
Mkuu, hii ni kiinglishi? 😀
Hahaaaa....ni swag tu mkuu.Mkuu, hii ni kiinglishi? 😀
Liwe fundisho kweli hasa kwa wale mawaziri wanaopenda kupandisha mabega na kujifanya wanajua kila kitu badala ya kusikiliza hoja za wabunge ambao kimsingi ndio waliopewa jukumu la kuisimamia Serikali.Leo Waziri wa Kilimo ametamka hadharani kuurejesha Mfumo wa Ununuzi wa Mbolea BPS ambao ulifutwa Juni 2021 na kusababisha mfumko mkubwa wa bei za Mbolea nchini kwani wafanyabiashara waliuza mbolea kwa bei wanayoitaka wao bila kuwepo usimamizi wa Serikali.
Jambo hili lililalamikiwa sana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina bungeni lakini Waziri Bashe alitangaza bungeni kumshutumu Mpina kwamba nI Mbunge wa muda mrefu ni hatari kupotosha Bunge na kwamba kwenye suala mbolea yuko tayari kwa lolote juu ya anachokiamini kuhusu mbolea na alitumia neno Im ready to bare any cost for what is what i believe. sasa kwa hili ni vizuri Bashe akachukua hatua kwa kujiuzulu kama alivyolitangazia Bunge
bashe ni kiongozi mzuri ila hapa alipotoka sana lakini nimeona akiwa kilosa alitangaza kurejesha mambo yote yaliyoshauriwa na Mpina ikiwemo BPS, BEI ELEKEZI NA USIMAMIZI MZURI WA RUZUKULiwe fundisho kweli hasa kwa wale mawaziri wanaopenda kupandisha mabega na kujifanya wanajua kila kitu badala ya kusikiliza hoja za wabunge ambao kimsingi ndio waliopewa jukumu la kuisimamia Serikali.