Jamani mwanafunzi wa shule ya secondary kaulizwa"zikiwa zinacheza simba na yanga na siku hiyo ukapita barabarani na ukakuta taa ya njano inawaka itakua inamaanisha SIMBA ipite au YANGA ndo ipite?kwa kujiamini anajibu YANGA.mmh kweli kwa mwanafunzi wa secondary mtego mdogo kama huo unamshinda?majangaaaaaaaaaaaaaaaa.