Hili limetokea usiku wa leo... Nimetokwa na machozi

Yes we can

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshahama kwa shemeji yako??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiduku lilo mutu na pesa zake bwana

Mimi nakupenda tu nikionaga thread zako hata kama na njaa najiona nimeshiba [emoji847]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadithi za kusadikika bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bangee,bange,bange zikasababisha mi nikutoroke....! Bangeee bange bange zikasababisha niote niko ulaya kwenye chumba chenye ac kumbe niko pagarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
“Alisika mvuta bange mmoja wakifarijiana huko kimanzichana”

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpenzi msikilizaji huyo ni mtangazaji wetu Batambuzi munyamasifa akiripoti kutoka kagera
 
Kuna watu maisha wanayoishi mitandaoni ni tofauti kabisa na mausha yao halisi.

Wengine hutoa specifications za vitu walivyo navyo, hadi wenye uelewa wa vitu hivyo mnabaki kushangaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…