hicho ndo kinanichanganya kabisa, kwamba pesa yake ye anafanyia nini? mara nyingi nafikiria sana na kuona its so unfair mwishowe naishia kuwa stressed na kuwa very bitter
kama hii ni ngumu basi aombe uhamisho ili awe jirani na mume wake.
mwanamama kakamaa mpaka ujue kinacho vinginevyo utakuwa unasema 'yule pale ndio alikuwa mume wangu'
its ok do anything to fight for ur ndoa,make sure unazungumza na mumeo hadi mpate muafaka mzuri,tumia busara na hekima dia,usisahau kumwomba mungu
He we katavi unamwambia ache kazi! Je na mumewe akimtema ni atapata uchizi
da, i feel your situation sister. Ngoja nitafakar, but really you are not alone.
Kwanza pole kwa hayo yote dada angu,
Sina familia lakini kwa hali ya kawaida sidhani kama hio ni sahihi kwa baba kuwa wa staili hio.
Najua hapa utapata ushauri mzuri tu, lakini na mbaya pia.
Sasa ili uweze kuchanganya ushauri utakaoupata hapa na akili zako mwenyewe hebu, jaribu kumshirikisha Mungu.
Ingia chumba chako cha ndani, moyoni mwako I mean, muombe Mungu, akuongeze katika kupata majibu ya hili tatizo lako.
Halafu omba utulivu wa moyoni, hakikisha moyoni una utulivu, usiwe na hasira, chuki wala lawama juu ya baba huyo.
Imagine hivi, Angekuwa ametangulia mbele ya haki (si ombei) usingeweza kuhudumia watoto wako na wewe mwenyewe?
Jitengenezee confidence ndani yako, kwamba you can without him.
Ukifanikiwa hapo, andaa safari na mpango mzuri tu, wenye hekima na unyekekevu ndani yake.
Ukae na huyo baba/mume wako mpendwa, uzungumze nae, msikilize, mueleze vile unavyojisikia, hapo nadhani na Mungu akiwa upande wako,
Utamuelewa tu nia yake ni nini hasa.
Kumbuka hekima ya pekee inatakiwa hapa dada, zingatia utulivu moyoni, utaipata tu nia yake.
Ukisha fahamu nia yake hata kama haitakuwa nzuri kwako, still usikate tamaa,
utaumia lakini usikate tamaa kamwe, kumbuka unaweza, Yes you can even without him. Maana hata sasa umeweza.
hicho ndo kinanichanganya kabisa, kwamba pesa yake ye anafanyia nini? mara nyingi nafikiria sana na kuona its so unfair mwishowe naishia kuwa stressed na kuwa very bitter
Kwanza pole kwa hayo yote dada angu,
Sina familia lakini kwa hali ya kawaida sidhani kama hio ni sahihi kwa baba kuwa wa staili hio.
Najua hapa utapata ushauri mzuri tu, lakini na mbaya pia.
Sasa ili uweze kuchanganya ushauri utakaoupata hapa na akili zako mwenyewe hebu, jaribu kumshirikisha Mungu.
Ingia chumba chako cha ndani, moyoni mwako I mean, muombe Mungu, akuongeze katika kupata majibu ya hili tatizo lako.
Halafu omba utulivu wa moyoni, hakikisha moyoni una utulivu, usiwe na hasira, chuki wala lawama juu ya baba huyo.
Imagine hivi, Angekuwa ametangulia mbele ya haki (si ombei) usingeweza kuhudumia watoto wako na wewe mwenyewe?
Jitengenezee confidence ndani yako, kwamba you can without him.
Ukifanikiwa hapo, andaa safari na mpango mzuri tu, wenye hekima na unyekekevu ndani yake.
Ukae na huyo baba/mume wako mpendwa, uzungumze nae, msikilize, mueleze vile unavyojisikia, hapo nadhani na Mungu akiwa upande wako,
Utamuelewa tu nia yake ni nini hasa.
Kumbuka hekima ya pekee inatakiwa hapa dada, zingatia utulivu moyoni, utaipata tu nia yake.
Ukisha fahamu nia yake hata kama haitakuwa nzuri kwako, still usikate tamaa,
utaumia lakini usikate tamaa kamwe, kumbuka unaweza, Yes you can even without him. Maana hata sasa umeweza.
Wapendwa, nakwazika na hapa nimekuja kutafuta advice na vilevile kufunguliwa akili.
Nina mume, nikahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine yeye akabaki dar, nilikuwa niko tayari kuacha kazi ili mradi tu tusitengane, au asione nimejali kazi zaidi yake, lakini alinitia moyo na kuniambia niende kufanya kazi, akani assure kuwa kila kitu kitakuwa sawa, tutakuwa tunaonana kila mara maana mikoa hii ni ya jirani. Cha kushangaza mwenzangu hataki kabisa kuja kutusalimia, yani nisipoenda mimi dar basi, yeye wala hashtuki hata weekend, watoto ninao mimi huku, sasa hii inamaanisha nini? kwa ufupi hajihusishi na kitu chochote kuhusu sisi, hatusaidii hata kodi ya nyumba japo yeye dar halipi kodi, wala matumizi wala nini, nothing. hata nikienda kmimi hatoi hata pesa ya nauli ya mimi kurudia huku wala hajali kama nalazimika kusafiri na watoto sometimes ili wamwone baba yao.
Nifanyeje? nimechanganyikiwa hapa nilipo, au ndo njia ya kuget rid of me? kanichoka? au ndo nishawaachia wenzangu huko? niache kazi nirudi tubanane? nipeni tafsiri ya haya, is it normal kwa familia zingine? pls nipeni uzoefu wenu.
Umetoa ushauri mzuri sana, lakini hapo kwenye nyekundu nadhani umeteleza kidogo
sorry Kituko kwa hilo, but you know what, maisha ya huyu mama na watoto lazima yaendelee kwa sababu yoyote ile,
Whether huyo baba yupo au hayupo. So ile tu kujiamini moyoni kwamba anaweza akiwa anaongozwa na Mungu inatosha,kumpa fursa ya ku deal na hilo tatizo.
What if akajiwekea kuwa hawezi bila yeye, halafu kumbe baba wa watu ndo kashaamua kumuacha na watoto wake.
Je ajiuwe, akubali kuchanganyikiwa hadi awe kichaa, au....
RAIN UNAWEZA, TUNAISHI KWA NEEMA YA MUNGU TU. Kwamba mwanaume hayupo Asante Mungu, yupo Asante Mungu.
Maisha lazima yaendelee.