Hili linatatulikaje; Baada ya kifo cha mmewe mama kama mrithi anauza ovyo mali pasipo kushirikisha watoto

Hili linatatulikaje; Baada ya kifo cha mmewe mama kama mrithi anauza ovyo mali pasipo kushirikisha watoto

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Habari wadau!
Ukitaka kujua tabia nzuri au ngumu za baadhi ya wazazi subiri atakapokufa mmoja!

Jambo kama hili huwa linatatulikaje?
Baada ya kifo cha baba wa familia yenye watoto wakubwa na wadogo wanaohitaji uangalizi au usimamizi!

Mama kuanza kuuza mali, viwanja, mashamba kimya kimya pasipo hata kuwashirikisha watoto wake wakubwa! Na hakuna cha maana wala jambo la msingi analofanya.

je, mama wa namna hii ni mbinu gani inahitajika kumdhibiti!?

Maana hana dhiki ya lazima kuuza hovyo maeneo kwasababu anapata kodi kutoka kwenye nyumba za kupangisha, pia watoto wanamtumia pesa ya chakula! Na kilimo anafanya hivyo hakuna dhiki!

Kinachotia mashaka ni speed yake ya kuuza mashamba na mali kimya kimya pasipo hata kuwashirikisha watoto wakubwa ilihali bado kuna mtoto anaehitaji utegemezi kiasi cha wale wakubwa kulazimika kumtunza mdogo wao!

Alihali mama yao kaachwa vizuri na mmewe lakini kaamua kuuza na haambiliki!
Na pesa anazouza hakuna cha maana anachokifanya.

Tatizo kama hili mnalitatuaje?

(Note; Watoto ni watu wazima baadhi lakini bado kuna mdogo ambaye nitegemezi)
 
As long as ni mama yao, amewazaa yeye - amewalea mpaka wamekuwa wakubwa - usijihusishe.
 
Sasa hapo ukienda mahakamani majirani wataanza kukusema pamoja na ndugu zako wengine,
ukimwacha auze pesa atatumia vibaya baada ya miaka michache anakua maskini mnaanza kumuhudumia pamoja na wadogo zenu,

Huu ujinga huwezi kuukuta uchagani maana familia au ukoo lazima zijue ukitaka kuuza mali za familia hasa kama mwenza mmoja amefariki na hii ni kwa maslahi mapana ya watoto.
 
Sasa hapo ukienda mahakamani majirani wataanza kukusema pamoja na ndugu zako wengine,
ukimwacha auze pesa atatumia vibaya baada ya miaka michache anakua maskini mnaanza kumuhudumia pamoja na wadogo zenu,

Huu ujinga huwezi kuukuta uchagani maana familia au ukoo lazima zijue ukitaka kuuza mali za familia hasa kama mwenza mmoja amefariki na hii ni kwa maslahi mapana ya watoto.
Kabisa! Sasa mfano kama anauza kimya kimya suruhisho ni nini
 
Habari wadau!
Ukitaka kujua tabia nzuri au ngumu za baadhi ya wazazi subiri atakapokufa mmoja!

Jambo kama hili huwa linatatulikaje?
Baada ya kifo cha baba wa familia yenye watoto wakubwa na wadogo wanaohitaji uangalizi au usimamizi!

Mama kuanza kuuza mali, viwanja, mashamba kimya kimya pasipo hata kuwashirikisha watoto wake wakubwa! Na hakuna cha maana wala jambo la msingi analofanya.

je, mama wa namna hii ni mbinu gani inahitajika kumdhibiti!?

Maana hana dhiki ya lazima kuuza hovyo maeneo kwasababu anapata kodi kutoka kwenye nyumba za kupangisha, pia watoto wanamtumia pesa ya chakula! Na kilimo anafanya hivyo hakuna dhiki!

Kinachotia mashaka ni speed yake ya kuuza mashamba na mali kimya kimya pasipo hata kuwashirikisha watoto wakubwa ilihali bado kuna mtoto anaehitaji utegemezi kiasi cha wale wakubwa kulazimika kumtunza mdogo wao!

Alihali mama yao kaachwa vizuri na mmewe lakini kaamua kuuza na haambiliki!
Na pesa anazouza hakuna cha maana anachokifanya.

Tatizo kama hili mnalitatuaje?

(Note; Watoto ni watu wazima baadhi lakini bado kuna mdogo ambaye nitegemezi)
Unataka ki Ben 10 kile nini?
 
Huyu mama akiwa na mumewe walijibana wakajenga na kununua mashamba kwa ajili ya future. Sasa mama ndiyo yuko kwenye hiyo future wewe unataka ajibane tena?

Muache auze, ni mali zake. Nini kitatokea mbeleni ajuaye ni Mungu. Watoto yawezekana wakatangulia kufa, hivyo hofu ya kumtunza mama akifilisika inatoka wapi? Au anaweza akauza akaanzisha jambo zuri zaidi. Muacheni ale future yake.
 
Waitishe kikao cha familia wakiwepo watoto wote, wajomba na baba wakubwa na wadogo!, aeleze kwa kina maamuzi yote aliyofanya, itakuwa kuna kijana mpuuzi hukp anamsugua vyema anamuendesha kama remote....
 
Siku zote msimamiI wa Mali akitangulia mbinguni lazima aliowaacha wateteleke.Si unaona tu hata Nchi yetu ilivyoharibika na kuendelea kuoza baada ya mzalendo kututoka 17.3.2021
 
Huyu mama akiwa na mumewe walijibana wakajenga na kununua mashamba kwa ajili ya future. Sasa mama ndiyo yuko kwenye hiyo future wewe unataka ajibane tena?

Muache auze, ni mali zake. Nini kitatokea mbeleni ajuaye ni Mungu. Watoto yawezekana wakatangulia kufa, hivyo hofu ya kumtunza mama akifilisika inatoka wapi? Au anaweza akauza akaanzisha jambo zuri zaidi. Muacheni ale future yake.
Na huyo mtoto aliebaki tegemezi atahudumiwa na nani? Wakae nae chini wajaribu kuongea nae ikiwezekana watoto washirikishe wazee wa familia yao.
 
Habari wadau!
Ukitaka kujua tabia nzuri au ngumu za baadhi ya wazazi subiri atakapokufa mmoja!

Jambo kama hili huwa linatatulikaje?
Baada ya kifo cha baba wa familia yenye watoto wakubwa na wadogo wanaohitaji uangalizi au usimamizi!

Mama kuanza kuuza mali, viwanja, mashamba kimya kimya pasipo hata kuwashirikisha watoto wake wakubwa! Na hakuna cha maana wala jambo la msingi analofanya.

je, mama wa namna hii ni mbinu gani inahitajika kumdhibiti!?

Maana hana dhiki ya lazima kuuza hovyo maeneo kwasababu anapata kodi kutoka kwenye nyumba za kupangisha, pia watoto wanamtumia pesa ya chakula! Na kilimo anafanya hivyo hakuna dhiki!

Kinachotia mashaka ni speed yake ya kuuza mashamba na mali kimya kimya pasipo hata kuwashirikisha watoto wakubwa ilihali bado kuna mtoto anaehitaji utegemezi kiasi cha wale wakubwa kulazimika kumtunza mdogo wao!

Alihali mama yao kaachwa vizuri na mmewe lakini kaamua kuuza na haambiliki!
Na pesa anazouza hakuna cha maana anachokifanya.

Tatizo kama hili mnalitatuaje?

(; Watoto ni watu wazima baadhi lakini bado kuna mdogo ambaye nitegemezi)

Watoto ni watu wazima, na hawawezi mzibiti Mama yao? Wacheni basi auze, maana hawana akili ya kutunza hizo mali kama hawawezi mzibiti Mama
 
Back
Top Bottom