Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Marehemu alifariki akiwa ktk ajali ya Gari.
Kwa mujibu wa ataarifa zilizosambaa mitandaoni aliokena aakiwa katika gari la Kifahari aina ya Jeep.
Gari lile pekee linakosti milioni zaidi ya 100.
Hiki kituko kinatoka wapi? Sio maigizo haya?
Kwa mujibu wa ataarifa zilizosambaa mitandaoni aliokena aakiwa katika gari la Kifahari aina ya Jeep.
Gari lile pekee linakosti milioni zaidi ya 100.
Hiki kituko kinatoka wapi? Sio maigizo haya?