kuna ckua ataambiwa avae bikini huyo
Amefufuka kama bwana alivyosema.heee thread zahuyu jamaa leo...kha.
Amefufuka kama bwana alivyosema.
heee thread zahuyu jamaa leo...kha.
Umeona eeh, na upande wa pili kuna Mfunyukuzi. Yaani leo sijui wameamkaje wallah!
Umeona eeh, na upande wa pili kuna Mfunyukuzi. Yaani leo sijui wameamkaje wallah!
there u are,,,sababu kubwa ni wivu coz niliwahi kupata hii proposal!anajua ukivaa chupi ya kiume ni aibu kuonekana nje:becky:Huyo jamaa hana lolote wivu tu umemjaa anadhani mkewe anapiga safari za nje ya nchi so akivaa ashakumu yake ataona aibu kwenda nchi za nje
hahahahahha,,,hatavaa bikini si kuna zile nyingine.du. kweli hii kali!sasa hiyo bikini jamaa akiwa anavaa sijui ile shaft yake itakaaje sipati picha kabisa!!!!!!!!!!!!!!!!