Hili nalo janga vyuoni!!

Hili nalo janga vyuoni!!

hakuna wanachokijua zaidi ya kuguess,tena za nje ndo kabisaa,hawa ndo viongozi wa baadae ..nchi hii cjuhi wapi inaelekea
 
Ndo kizazi cha dot.com na wengi wao ni wavivu wa kufikiri na ubunifu.
 
wanafunzi wako bize na swaga,nyimbo,magemu n.k ikifika tahaarifa ya habari wanatoka nje,ukiuliza mambo ya nchi yao PTO..

hawa mi nafikiri wana akili zaidi kuliko hata wewe ambaye umesikiliza taarifa za habari kwa zaidi ya robo karne na bado hujabadili chochote. Taarifa zenyewe za uongo na kupikwa tu. mfano, taarifa ya habari inatangaza riport ya tume ya kuchunguza kifo cha mwangosi, kisha inahitimisha kwa kusema, policcm hawakuhusika, na wewe unajua wamehusika
taarifa ya habari inatangaza, pato la taifa limekuwa kwa asilimia 7, na wewe umasikini kwako unaongezeka, babu na bibi zako vijijini maisha yanawapiga vibaya. wewe mwenyewe una mwaka wa 6 hujaenda kwenu likizo kisa no nauli
haya unaambiwa tz jeshi letu limejipanga vizuri, kesho unasikia mna ndege moja tena ya msaada na yenyewe imeanguka baada ya kushindwa kuruka sijui kutua, na mbaya zaidi imeua mtz asiye na hatia
shame on those taarifa
mi pia sisikilizi taarifa za bongo na siyo mwanafunzi ni mwalimu, na sitakuja kuwahamasisha wanafunzi wangu wasikilize huu upuuzi
 
Nilikuwa napita tu samahani lakini-naona kuna ka ukweli hapo uliza saizi uchunguzi wa Barlow umefikia wapi kama utapewa jibu.samahani lakini
 
Ulimbukeni wao utawatokea puani baadaye. Taifa linapokuwa na viongozi limbukeni huzaa jamii ya watu limbukeni. Wanachofanya wanafunzi ni uthibitisho wa waliowazaa.
 
taaharifa ni case study,najaribu kureveal how serious thse guys pay attention to their domestic matters,bora ww unajua
 
wao hawajuhi hata hyo GDP ni nn na ni ngapi,hauwezi kujenga hoja pia kwa kukimbia taaharifa na mitizamo mbadala ...PTO
 
wanafunzi wako bize na swaga,nyimbo,magemu n.k ikifika tahaarifa ya habari wanatoka nje,ukiuliza mambo ya nchi yao PTO..

Sasa wahangaike na TAHAARIFA ya kazi gani!?
 
sasa kama za ndani feki hata za nje nazo feki?angalia vipindi vya uchambuzi ama *tv/itv ni nani yuko interstd ...kweli??
 
MMh...lakini kweli,wanafunzi wengi hawaangalii hizo mambo....lakini hata hao walioangalia for the past ten years,wamepata nini??Siwezi kuwalaumu wanafunzi wala kuwapa chapuo kwa hilo........wakati mwingie mazingira yanawafanya watu ku'behave tofauti....
 
hawa mi nafikiri wana akili zaidi kuliko hata wewe ambaye umesikiliza taarifa za habari kwa zaidi ya robo karne na bado hujabadili chochote. Taarifa zenyewe za uongo na kupikwa tu. mfano, taarifa ya habari inatangaza riport ya tume ya kuchunguza kifo cha mwangosi, kisha inahitimisha kwa kusema, policcm hawakuhusika, na wewe unajua wamehusika
taarifa ya habari inatangaza, pato la taifa limekuwa kwa asilimia 7, na wewe umasikini kwako unaongezeka, babu na bibi zako vijijini maisha yanawapiga vibaya. wewe mwenyewe una mwaka wa 6 hujaenda kwenu likizo kisa no nauli
haya unaambiwa tz jeshi letu limejipanga vizuri, kesho unasikia mna ndege moja tena ya msaada na yenyewe imeanguka baada ya kushindwa kuruka sijui kutua, na mbaya zaidi imeua mtz asiye na hatia
shame on those taarifa
mi pia sisikilizi taarifa za bongo na siyo mwanafunzi ni mwalimu, na sitakuja kuwahamasisha wanafunzi wangu wasikilize huu upuuzi

well said brother. .
 
mbona watu mnajitoa kama nyie hili taifa haliwahusu...nyie mmelifanyia nini taifa lenu zaidi kutoa lawama tu....ondoa boriti katika jicho lako ndipo ulisafishe jicho la nduguyo
 
nyie endeleeni kuchek muvi 24/7 thn mtaiona nchi yenu itakavyokuwa make kama ni uduni wa maisha nyie ndo victims wa ksho
 
MMh...lakini kweli,wanafunzi wengi hawaangalii hizo mambo....lakini hata hao walioangalia for the past ten years,wamepata nini??Siwezi kuwalaumu wanafunzi wala kuwapa chapuo kwa hilo........wakati mwingie mazingira yanawafanya watu ku'behave tofauti....

msomi yoyote unatakiwa kuwa update na informaion kuhusu nchi yako na dunia kwa ujumla kwa mtazamo wangu na faida yake ni kutanua uwezo wa kutafakari/kuchambua/ku-compare matukio,msomi anatakiwa afuatilie habari za ndan na nje,anyway ni mtazamo tu
NASIKILIZA DW KILA SIKU SAA 7 full kuelimika
 
msomi yoyote unatakiwa kuwa update na informaion kuhusu nchi yako na dunia kwa ujumla kwa mtazamo wangu na faida yake ni kutanua uwezo wa kutafakari/kuchambua/ku-compare matukio,msomi anatakiwa afuatilie habari za ndan na nje,anyway ni mtazamo tu
NASIKILIZA DW KILA SIKU SAA 7 full kuelimika

Nakuunga mkono Mia kwa Mia...tena sanaaa....mi nimeanza kusikiliza,by that time BBC ilikua juu,kabla ya DW,sijui na hii ya wachina,france......ninachosema,siwaungi mkono wala kuwa'crash.....nayafaham vyema mazingira ya chuo,pindi utakapokua unapata 30% kwenye tuition fee,na ukakata boom lako kujilipia ada(kufidia hiyo 70%) kwa kuwa wazazi ni hohe hahe.....taarifa ya habari utaisikilizia kwenye bomba,kichwa inaenda resi kama machinga anayewindwa na mgambo!!!All in all,taarifa za habari zinahusika sana!!:shut-mouth:
 
Habari hizo hizo za mafisadi waliokula hela nyingi na kila siku kesi zinapigwa tarehe,acha iwe hivyo bana!
 
Wanaongalia na kufuatilia ligi za mpira, nyimbo n.k hususani, za huko majuu ni wengi ile mbaya. Ukiwauliza habari za nchi hii, wanashangaa utadhani wametoka Ulaya saa hiyo hiyo. Huwa napata kazi kubwa ya kuwasimulia 'wasomi' kinachoendelea ndani ya nchi yao.
 
Back
Top Bottom