Elections 2010 Hili nalo litalipuka hivi karibun....maana linafukuta jikoni

Elections 2010 Hili nalo litalipuka hivi karibun....maana linafukuta jikoni

Duh!!! Tanzania zaidi ya uijuavyo!!!! Hizo pesa zilikuwa zinalipwa na nani na kuwekwa kwenye hiyo benki ya UK? Je ni mshahara, marupurupu au rushwa? :A S angry:
 
Asumin g in miaka 5 iliyopita hii ni sawa na siku 1825. ukimltiply hii by TZS 100,000,000.00 = TZS 182,500,000,000.00 (182.5 Billion). Absolutely stupendous. Hell no! Well I hope they dont manage to draw the money. Their sins will one day find them out!
 
Jaman tusipuuze kila kitu hapa ni jamvini ila kwa kweli tetesi nimewahi kuzisikia na baada ya wajanja kadhaa kunifuata na kunitaka niwatafutie watu kadhaa wenye fedha kiasi fulani kwenye benki ili fedha hizo zipitishwe kidogo kidogo na ziliwe kama zilizokuwa za EPA na walitaka akaunti za makampuni ambazo ni za muda mrefu na zinatransact. Vizuri nikaona liko nje uwezo wangu na sikuwaamini pia kama kuna hela za namna hiyo na baada ya kama miezi miwili walinijia kundi lingine litakataka msaada wa aina kama hiyo na walikuwa na haraka mno na hawa walitaka za dola na shilingi na walipoona sijawapa majibu ya kuridhisha walitokomea

Kwa hiyo jamani haya mambo yapo japo ni tetesi lakini lisemwalo lipo kama halipo linakuja anayeweza kufanya uchunguzi wa kina atumwagie habari zaidi kwa manufaa ya Jamii na Taifa kwa ujumla
 
kama ingekuwa imetokea nchi nyingine hata mimi ningekataa.....lakini Richmond watu walikuwa wanalipwa ze sem amaunti kwa siku....so inawezekana.

ila huyu jamaa kwa kutaa kwenda kusign si wangeshamshughulikia?....au?
 
Kaka hivi ni vijisent tu, embu cheki 2005 -2010 ni sawa na 365x5= 18,25x100,000,000= 182,500,000,000/=
 
Acheni porojo hapa, tunataka evidence. Mwenye njia ya kuzipata atujulishe
 
Komagi fanya mpango twende Mwembeyanga hizo story tamu mshkaji wangu!!!
 
hebu ngoja tuone, milioni mia kwa siku.

Kwa mwezi maana yake ni milioni Mia mara 30= bilioni tatu.
kwa mwaka ambayo ni miezi 12= bilioni 36
kwa miaka mitano: bilioni 36 mara 5= bilioni 180.

Hivi huu ujasiri wa kukomba bilioni 180 upo kweli?
 
Very possible!...Muda utaongea, na si hili tu, yapo meeengi yanafuata!
 
Wahenga walisema.......lisemwalo lipo na kama halipo?.....................!!!!
 
Kwa mimi niliyewahi kufanya kazi tics milioni mia kwa siku siyo issue!inawezekana na zaidi!!kama agizo lilitolewa wasinge dipost ktk bot mpaka uk banks kwa niwajanja kuliko.
 
oooh !!!!!!!!!!!!!!!!!!!! shit. No comment
 
mimi wala sioni ajabu,kwani CCM wanakitu wanachokishindwa wakiamua? wamemkataa SITTA wakasingizia haki za wanawake eti ladies first
kwa ccm kilam kitu kinawezekana,tegeni tu masikio mtayaona na kuyasikia mengi sana.Je mme jiuliza kwa nini Uingereza ulijibu taarifa ya Takukuru mapema sana? haya ni mambo mengi ambayo sio lelemama...
 
Millioni 100 kwa siku tangia mwaka 2005 hadi 2010! Hapana, haiwezi kuaminika; hapo hujanipata bado.

Ni kweli, ni pesa nyingi sn. Hii ina maana ni shilingi za madafu 100,000,000 x 365 x 5, sipati picha kbs!
 
kutokana na chanzo kilichonitonya habari hizi kuwa ni cha idara nyeti ya serikali naomba kutoa hoja kama ifuatavyo. katika kukurukakara za kujiandaa na uchaguzi huu wa mwaka 2010.. kuna habari kuwa kuanzia mwaka 2005 waziri mmoja wa awamu iliyopita ambaye ana mkono wake TICS alianza kulipwa TSHS 100 mil kila siku awe amefanya kazi ama la lakini hizo pesa aliagizwa na mkuu wake akusanye kwa ajili ya uchaguzi huu wa mwaka 2010. hivyo zile pesa zikawa zinalipwa kwa huyu waziri kupitia benki kuu na kuwa deposited kwenye benki kuu ya uingereza. kosa walilolifanya ni kuwa kule uingereza zilikuwa zinakuwa deposited kama pesa kutoka tanzania si kwa mtu binafsi hivyo ilipofika mwaka huu walipoenda kutaka kudraw hizi pesa wakaambiwa kuwa hizi pesa ni za tanzania si za mtu binafsi hivyo wakaagiza gavana fedha mzee B. ndulu akazisaini kuidhinisha kutoka kwa pesa hizo. kwakuwa ilikuwa ni mtego gavana akakataa kwenda akidai kuwa shughuli za uchaguzi zimeshika kasi hivyo hadi uchaguzi upite. inadaiwa kuwa serkali ya uingereza ikauliza inakuwa watz wanaomba pesa ya uchaguzi wakati wana mabilion ya pesa zao hapa kwenye benki yetu? kisa kilichopelekea kumuita gavana akazisaini lakin hakutia mguu. inasadikika kuwa wakubwa wa kaya bado wanagonganisha vichwa ili kujua watasolve vipi hii kadhia. naomba kutoa hoja mwenye kuijua vizuri hii issue atuhabarishe

Una maana makusanyo ya Bandari yetu ketengo cha upakuaji yanaruhusu kotoa 100 million kila siku bila kuathiri shughuli za uendeshaji hapo bandarini? Maana 100 million X 365= 36 billion!!!!
 
huwa naamini habari za jf hivyo hilo laja,amini msiamini mtaliskia tu mda si mlefu likiwa live ndani ya nyumbaaaaaa
mapinduziiii daimaaaa
 
Kweli tumefikishwa pabaya. Inaelekea hata tukiletewa taarifa kuwa ml. Kilimanjaro umekodishwa kwa Sultani mmoja huko M. ya Kati kwa miaka 50 hatuna namna ya kubisha kwa uhakika kabisa kuwa si kweli bali ni kamba tu hizo! Duh! Basi hatuna uongozi kabisa nchi hii. I just pray that this topic turns out to be just pure speculation (with all due respect to the thread starter); otherwise, I'm begining to feel dizzy!
 
Back
Top Bottom