Hili nalo ni balaa kubwa nililoliona chini ya jua

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Kuna majanga asili mengi duniani (natural disasters)ambayo tunayaona/sikia yakiathiri maisha ya watu lakini hi ni kubwa zaidi.

Pale mtoto wa kiume unapozaliwa kati ya wanawake wengi na ukashindwa kujitofautisha nao.

Mmmmmh usipokuwa shoga unakuwa mbeya hatari. Unaanza kujadili hawara za dada zako,mavazi yao,shoga zao na mwisho hata vimipasho vyao.

Maisha yako mtaani yanakuwa magumu kweli na maujuzi ya kiume unakuwa huna yaani ni ubatili mtupu na kujilisha upepo.
Wanaume tujitambue !!!
 
Mtoto wa kiume na tabia orodheshwa hapo juu huo ni ushoga..
 
Natamani ningekua namdada basi tu..
 
Mbona hii mada umeileta kimbeya na kimipasho sana??? Je wewe na hao uliowasema mna tofauti gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…