Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Sasa Papuchee kitu ya kumnyima mtu kweli?Wanaume hamuitaji mutual feelings ili mpenzike, ila kwa wanawake ni tofauti kidogo, huwezi penzika na kila mwanaume hata kama hujamfeel, huo utakua ni umalaya tuu😎
Sio, lakin ndo umpe kila mtu.. Mnh😂😂😂😂Sasa Papuchee kitu ya kumnyima mtu kweli?
Nipatie mimi tu basi.....Sio, lakin ndo umpe kila mtu.. Mnh😂😂😂😂
Chukua😂😂😂😂Nipatie mimi tu basi.....
Wewe una roho nzuri.... Safi sana. NakujaChukua😂😂😂😂
Nimeshangaa sana.
Penzi ni kitu cha Kumnyima Mtu Kweli? Mpeane Mapenzi na Mfurahie.
Inashangaza mtu anakuwa tu na roho mbaya, roho ya kichoyo na kibinafsi. Mtu kaja kakuomba penzi. MPE. si suala la kufanya liwe inshu, hasa tabia hizi wanazo sana Wanawake.
Kwa wanaume ni nadra kumnyima mwanamke penzi. Anapewa tu. Hatunaga roho mbaya.
Ni Dualis. Siyo Vanguard. Nimemwambia atumie hilo hilo kwanza mpaka later onSwala la shemeji la kusimangwa na shoga zake kuhusu gari lake ulilo mnunulia aina ya vanigadi umelimaliza??