Hili ndilo Kombe la Dunia bora kwangu kuanzia mwaka 1998 mpaka 2022

Hili ndilo Kombe la Dunia bora kwangu kuanzia mwaka 1998 mpaka 2022

BlackPanther

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
9,185
Reaction score
8,715
Katika mashindano yote niliyoshuhudia, from 1998-2022, basi hili ndio shindano bora kwangu(2022), sio tu shindano, bali na muandaaji mwenyewe QATAR na tamaduni zake nimezifurahia sana sana, wengine walijaribu kubip suala la ushoga wakagonga mwamba.. hongereni sana wana-QATAR, hakika mmewaweza hawa wapumbavu, ni jambo jema kwakweli..

So, na katika timu zilizoingia in the semi finals basi hii ni bora kwangu, haswaa nikiulizwa timu zipi unazikubali na umefurahia kutinga semi finals basi bila kupepesa nitajibu ARGENTINA AND MOROCCO.

In the world ARGENTINA 🇦🇷
In Africa MOROCCO 🇲🇦

Ikibeba MOROCCO 🇲🇦 ni sawa tuu, ama Albiceleste ni sawa tuu, japo nitafurahia zaidi kwa chama langu la kitambo likitwaa kombe, ARGENTINA 🇦🇷 Wanaume wa shoka ndani ya America ya kusini, wale wapaka blichi wajifunze kutoka kwa waargentina wenye mpira wao.

GOD BLESS MOROCCANS AND ARGENTINIAN PEOPLES, wale wanaohamasisha ushoga wanisamehe!

Kila la heri ARGENTINA 🇦🇷 and MOROCCO 🇲🇦

Franklin1902
N.k
 
Sisi wapaka Bleach tunawaambia tupo toka enzi hizo ukisikia kombe la dunia unawaza ni Brazil... 😀 😀
Any way kila la heri kwenu
 
kwangu mimi
1. kusimamisha muda watu wakijidondosha kumeongeza sana quality ya mpira, sasa hivi kila mtu mwananume mambo ya kupoteza muda yamepotea.

2. offside rule ambayo ni automatic haihitaji refa kuangalia.

3. wachezaji wote wapo fit, fitness level imechangiwa sana mashindano kuwa katikati ya msimu, ndio maana mwaka huu hakuna vibonde wengi, tumeona suprise za kutosha.
 
Katika mashindano yote niliyoshuhudia, from 1998-2022, basi hili ndio shindano bora kwangu(2022), sio tu shindano, bali na muandaaji mwenyewe QATAR na tamaduni zake nimezifurahia sana sana...
Wanaohamasisha ushoga na Messi yumo coz alikubali kuvaa jezi ya upinde wa mvua kule PSG
 
kwangu mimi
1. kusimamisha muda watu wakijidondosha kumeongeza sana quality ya mpira, sasa hivi kila mtu mwananume mambo ya kupoteza muda yamepotea
2. offside rule ambayo ni automatic haihitaji refa kuangalia
3. wachezaji wote wapo fit, fitness level imechangiwa sana mashindano kuwa katikati ya msimu, ndio maana mwaka huu hakuna vibonde wengi, tumeona suprise za kutosha.

Chief, ahsante kwa uchangiaji.. ubarikiwe kamanda
 
Messi alipewa penalty ya mchongo siku ile ilikuwa nje ya box kila mtu kimya ila ingekuwa Ronaldo ndo kapewa ile penalty basi dunia isingekalika kiufupi Argentina walibebwa ile ilikuwa sio penalty.
 
Messi alipewa penalty ya mchongo siku ile ilikuwa nje ya box kila mtu kimya ila ingekuwa Ronaldo ndo kapewa ile penalty basi dunia isingekalika kiufupi Argentina walibebwa ile ilikuwa sio penalty.
Nje ya box?

Hii ndio shida ya kusikiliza TBC taifa. Yani mtu yuko Simiyu, anasema ni nje ya box. Wewe unaona kumzidi refa na VAR waliopo uwanjani?
 
kwangu mimi
1. kusimamisha muda watu wakijidondosha kumeongeza sana quality ya mpira, sasa hivi kila mtu mwananume mambo ya kupoteza muda yamepotea
2. offside rule ambayo ni automatic haihitaji refa kuangalia
3. wachezaji wote wapo fit, fitness level imechangiwa sana mashindano kuwa katikati ya msimu, ndio maana mwaka huu hakuna vibonde wengi, tumeona suprise za kutosha.
Hii fitness naunga mkono hoja
 
Yaani unataka kulinganisha ma legend kama Ronaldo de Lima, Zinedine zidane, Lilian Thuram,wakina Davor suker! Aise 1998 was the best

Hayo ni maoni yako, yapasa kuyaheshimu, binafsi katika hao hakuna hata mmoja alieweza kuvaa kiatu cha Diego and Messi,

Kuna msemo unasema old is gold, japo hauna maana yoyote isipokua kwenye vifaa kama gari n.k, ila sio binadamu kama tulivyokaririshwa, na baadhi yao hufuata mkumbo.. hii ndio afrika😃
 
Back
Top Bottom