Hili Ndilo Kosa Moja Unalofanya Kila Siku kwenye Maisha yako…

Somo zuri Mwalimu Mzuri sasa wanafunzi tu kujichukulia notice ubaoni ndio kilichobakia, Asante kwa somo mkuu nimetoka na kitu kipya hapa leo mountain climbers, summit, stare, plan, goals, boots aisee
 
Somo zuri Mwalimu Mzuri sasa wanafunzi tu kujichukulia notice ubaoni ndio kilichobakia, Asante kwa somo mkuu nimetoka na kitu kipya hapa leo mountain climbers, summit, stare, plan, goals, boots aisee
Shukrani Sana Uncle na Karibu Sana...[emoji1666]
 
Uandishi sijui una una ugomvi nao?
Sijui mwandiko wako ukoje ikiwa hutumii simu/kishkwambi/computer

Una madini ila uandishi ni wa hovyo sana na pengine ndivyo ulivyo!
Kile ukifanyacho hukutambulisha pia!
 
Nimeisoma kwa UMAKINI kabisa na niseme thanks nimepata kitu na nimepita nayo mzima mzima. Thanks again mleta mada Seif Mselem
 
Uandishi sijui una una ugomvi nao?
Sijui mwandiko wako ukoje ikiwa hutumii simu/kishkwambi/computer

Una madini ila uandishi ni wa hovyo sana na pengine ndivyo ulivyo!
Kile ukifanyacho hukutambulisha pia!
Nivumilie Kaka Mkubwa, Daftari Langu Halisomeki...
 
Mmesikia? Msiwaze kufika kileleni kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…