Seif Mselem
Senior Member
- Oct 16, 2023
- 161
- 526
- Thread starter
- #41
Ni Aina ya Uandishi Tu Ndio Imefanana... Ila Contents Tofauti.Mbona naona maandishi ya Amosi Nyanda katika thread ya Seif Mselem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Aina ya Uandishi Tu Ndio Imefanana... Ila Contents Tofauti.Mbona naona maandishi ya Amosi Nyanda katika thread ya Seif Mselem
Usifikirie kuhusu Lifestyle flani ya kwenda kukaa kwenye Restaurant flani huku pembeni una MacBook yako na Kikombe cha Kahawa…
.
Usifikirie kuhusu Iphone 14 Pro utakayopata baada ya Kupiga Dollar 1700 kwenye Forex…
[emoji3][emoji3][emoji3] Pole Sana Kaka Jack... Sema Tunajifunza Kupitia MAKOSA Yetu.[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti kubwa....
Umenikumbusha wayback 2019 wakati naanza kuijua forex hii mentality ndio ilikua kichwani mwangu japo mm fantasy yangu haikuwa kwenye iPhones fantasy yangu ilikuwa ni cars
Hii mentality ilinipa msoto wa umaskini for 4 years japo baadae niligundua sipo peke yangu coz vijana wengi wanaotrade forex hii kitu ndio inawakill daily
Anyway all is well sikupoteza muda i'm glad for the experience i acquired on the game right now sio rahisi mtu kunidanganya chochote kuhusu forex
Kama bado unatrade forex tuna kikao pm
Karibu Kaka Raymanu.ujumbe murwa kabisa
Karibu Tujifunze Chief Ngwanduu.Ahsante sana ,ujumbe umeniongezea kitu ,ahsant
[emoji106]Upo sahihi[emoji106]
Skipp it for content controlUna point nzuri ila umezifiiicha ndani ndani huko ..
Pia umeanza vibaya manenoo mengi jnaweza mboa mtu akaachia kusoma njian.