Elections 2010 Hili Ndilo Neno La Mama Salma

Anatarajiwa kuwa Waziri wa Elimu mumewe akipita kama kwa mu7.
 
Tandale inaelekea we ndo chifu wao kitaaluma ndo maana unatetea data zinazokinzana. Ila unajitahidi sana kuwatetea. Wameongeza malipo nini?
 
Tandale inaelekea we ndo chifu wao kitaaluma ndo maana unatetea data zinazokinzana. Ila unajitahidi sana kuwatetea. Wameongeza malipo nini?

Ndo system yako???Ya kulipwa?Au umenunuliwa laptop na modem?
 
Tandale inaelekea we ndo chifu wao kitaaluma ndo maana unatetea data zinazokinzana. Ila unajitahidi sana kuwatetea. Wameongeza malipo nini?

Huyu mama ni mwalimu na anajua anachosema.Muhimu ni ujumbe.
 
Unamjua Michelle Obama????Na yule aliyepandishwa jukwaani na magwanda??Hii forum sijui inakuwaje.Mnaongelea watu badala ya ujumbe.Kweli waafrika.

Kwani Michelle amesema wafanye kampeni za Shuka kwa shuka...we vipi
 
jamani jamani jamani, enyi akina mama mbona mnadanganywa na huyo mama! shule tumejenga wenyewe,tulitegemea labda basi watatuletea waalimu, wapi! akina mama msimsikilize huyo mama watoto wake hawasomi shule za kata, watoto wanao teseka ni wetu, serikali imetekeleza nini kutukana wafanyakazi, kwa kuwafananisha na mbayuwayu! embu atupishe huko amhudumie bwanake na hizo hypoglycemia yake. laana hizo atadondoka mpaka basi! lakini na sikia anatumia sana miziziology,
 

Mbona hamkuzijenga wenyewe before 2005???Au iumeamka toka usingizini?
 
Uliza aliowafundisha wakati huo wewe uko Sitimbi

Wacha huongo wewe kwani nani asiyejua kuwa huyu mama ALIKUWA BEKI TATU wakati mkwere akiwa huko kusini kichama, mkwere akafiwa na mkewe ndio akahoa huyu BEKI TATU! Hiyo elimu ya kufundisha shule ya msingi alikuwa ana kwa vyovyote Mkwere alimfanyia mpango akaungaunga ndio akaweza kufundisha primary!
 
Hivi mnajua kuwa Malaria Sugu amefungiwa? BAsi karudi kwa jina hili!
 
Hebu jamani tufikiri japo kidogo tu,
hizi shule bila ya walimu, bila ya maabara, bila ya vitendea kazi kuna elimu kweli hapo? Hao walimu wachache wenyewe ndio wale wa voda faster hawana skills za kutosha za kufundisha na kimaadili ya ualimu pia nina mashaka nao. Hawa ndio tuwape watoto watufundishie na kutuandalia vijana wa taifa lijalo. Jamani hii elimu imekuwa mchezo wa kuigiza kiasi hiki?
 

Hivi ni zote ziko hivyo unavyosema??Tuongeze kufikiri
 

Uko wapi???:becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…