Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 605
[h=5]Kichwa kimeanza choka, ebu niwaze Taifa...
1. Taifa ambalo binti zake wakimwona Mzungu wanadhani ana hela.
2. Taifa ambalo ukiongea kiingereza unaonekana umesoma.
3. Taifa ambalo bank haikutafuti we ndo unaihonga ikukopeshe.
4. Taifa ambalo ukifeli unakuwa mtangazaji wa kipindi maalumu kabisa.
5. Taifa mbalo simu kali ni dili hata kama vocha waweka za jero jero.
6. Taifa ambalo unazaliwa umeme shida, unafika miaka 30 hata huna bajeti ya Jenereta/Solar, unailaumu tu TANESCO.
7. Taifa ambalo warembo washajiona wao ni waomba kusaidiwa daima.
8. Taifa ambalo kila mtu anataka ajue bei ya kitu ulichonunua!
9. Taifa ambalo usipoiba unaonekana ----!
10. Taifa ambalo kila mtu analalamika hana ela, mpe dili sasa, anaanza longolongo.
11. Taifa ambalo sanne lina foleni ya watu wanaenda makazini.
12. Taifa ambalo ukisema upo ofisini satatu usiku unashangawa ila upo club sanane usiku unasifiwa.
13. Taifa ambalo kusema jana nlikuwa bata sana ile mbayaaaa ni dili na waonekana mjanja.
14. Taifa ambalo bila kuigana siku haijapita.
15. Taifa ambalo kila anayehojiwa anasema "Naiomba Serikali iliangalie suala hili"
16. Taifa ambalo ukiwa na gari hutongozi unatoa tu lift kitu shaa.
17. Taifa ambalo kulipa bili yako pekeako ukaruka za wengine ni vita.
18. Taifa ambalo ikinyesha dakika 5 tu foleni masaa.
19. Taifa ambalo viongozi wanajua "hawa watazoea tu" washazoea umeme, washazoea "haijajulikana", watazoea na hii.
20. Taifa ambalo kijiMC kidonyo tu kinaweza kufariki Taifa zima likageukia Msiba.
21. Taifa ambalo kuteswa ni kunyofolewa Meno na Kucha.
22. Taifa ambalo viongozi wake wana mipasho ka taarabu.
23. Taifa ambalo vijana wameombwa wasipondee bali wasifie nchi.
24. Taifa ambalo hata bomu likilipuka Arusha, wa Mbagala anajichagulia jina la Mlipuaji.
25. Taifa ambalo, dah, nmechoka, endeleeni nyie....[/h]
1. Taifa ambalo binti zake wakimwona Mzungu wanadhani ana hela.
2. Taifa ambalo ukiongea kiingereza unaonekana umesoma.
3. Taifa ambalo bank haikutafuti we ndo unaihonga ikukopeshe.
4. Taifa ambalo ukifeli unakuwa mtangazaji wa kipindi maalumu kabisa.
5. Taifa mbalo simu kali ni dili hata kama vocha waweka za jero jero.
6. Taifa ambalo unazaliwa umeme shida, unafika miaka 30 hata huna bajeti ya Jenereta/Solar, unailaumu tu TANESCO.
7. Taifa ambalo warembo washajiona wao ni waomba kusaidiwa daima.
8. Taifa ambalo kila mtu anataka ajue bei ya kitu ulichonunua!
9. Taifa ambalo usipoiba unaonekana ----!
10. Taifa ambalo kila mtu analalamika hana ela, mpe dili sasa, anaanza longolongo.
11. Taifa ambalo sanne lina foleni ya watu wanaenda makazini.
12. Taifa ambalo ukisema upo ofisini satatu usiku unashangawa ila upo club sanane usiku unasifiwa.
13. Taifa ambalo kusema jana nlikuwa bata sana ile mbayaaaa ni dili na waonekana mjanja.
14. Taifa ambalo bila kuigana siku haijapita.
15. Taifa ambalo kila anayehojiwa anasema "Naiomba Serikali iliangalie suala hili"
16. Taifa ambalo ukiwa na gari hutongozi unatoa tu lift kitu shaa.
17. Taifa ambalo kulipa bili yako pekeako ukaruka za wengine ni vita.
18. Taifa ambalo ikinyesha dakika 5 tu foleni masaa.
19. Taifa ambalo viongozi wanajua "hawa watazoea tu" washazoea umeme, washazoea "haijajulikana", watazoea na hii.
20. Taifa ambalo kijiMC kidonyo tu kinaweza kufariki Taifa zima likageukia Msiba.
21. Taifa ambalo kuteswa ni kunyofolewa Meno na Kucha.
22. Taifa ambalo viongozi wake wana mipasho ka taarabu.
23. Taifa ambalo vijana wameombwa wasipondee bali wasifie nchi.
24. Taifa ambalo hata bomu likilipuka Arusha, wa Mbagala anajichagulia jina la Mlipuaji.
25. Taifa ambalo, dah, nmechoka, endeleeni nyie....[/h]