Hili ni jambo moja la kijinga kabisa nilikuwa naliwaza enzi zangu. Uliwahi kuwaja jambo gani la kijinga kabisa

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nilikiwa STD 6.

Kuna Binti mmoja alikuwa amekamilika kila idara.
Alikuwa mlimbwenda
Kiakili (Darasani)
Kimaumbile.
Kisura.
Kiroho
Kimaadili
Kilugha ( Hakuna aliyekuwa anamkaribia ENGLISH Aliwazidi hadi walimu wa St Kayumba yetu).
Kiuchumi ( Ndio mwanafunzi pekee aloyekuwa analetwa na Pijoti ya baba yake TZA ).

Wakuu japo ni dhambi kwa mtoto wa shule ya msingi Kupenda. Nilimtamani kiasi cha kushindwa nifanyeje. Baada ya Kujifunza topic ya Kupatwa kwa Jua. Nikaamini Jua Likipatwa kunakuwa na giza totoro.
Sasa nikawa namlia timing na kuomba jua lipatwe tu mimi namkimbilia yeye moja kwa moja nafanya yangu hata ikibidi kubaka.


Wazo hili la kijinga, la kipumbavu, la kipuuzi nalilaani.


Mkuu Uzi huu ni kwa ajili ya mawazo ya kijinga kabisa ambayo uliwahi kuyawaza.
Usijifanye mstaarabu kila mtu hata Wakina Einstain walikuwa wanawaza ujinga mara kadhaa.


karibu
 
Dah...ubongo wa mwanaume umeumbwa kwa maboksi...kila wazo Lina boksi lake... nimetafuta Sana boksi kwa ajili ya huu uzi ...nimekosa...nisamehe[emoji41]
 
Mbona unatulazimisha kana kwamba sisi sote tumepita njia zinazofanana au wote tunashea Upumbavu. Hujui kuna watu wamekua na HEKIMA tangu Utoto wao??.
 
Niliwaza ifikapo 2019 mwezi WA 10 niache pombe kabisa niendelee na research zangu za kisayansi na elimu vitendo maana nili stop nlipoanza kunywa nikashindwa kupata boarding pass ya kwenda nchi Fulani kwa kuugua ugua kisa pombe

Imagine ni wazo la kipuuzi Sana unaachaje pombe
 
Mbona unatulazimisha kana kwamba sisi sote tumepita njia zinazofanana au wote tunashea Upumbavu. Hujui kuna watu wamekua na HEKIMA tangu Utoto wao??.
ujinga ni sehemu ya maisha ya mwanadamu. kuutoa ni process mkuu.
nguzo ya uadilifu ni utambuzi kiwa siku moja umewahi kuwa mjinga na juha kwenye eneo flani
 
 
Dah...ubongo wa mwanaume umeumbwa kwa maboksi...kila wazo Lina boksi lake... nimetafuta Sana boksi kwa ajili ya huu uzi ...nimekosa...nisamehe[emoji41]
😀
mkuu fukua kaburi kidogo
 
Duuh nimekusoma vilivyo bro,pole na maswahibu lkn pambana utimize ndoto zako mkuu.

AlLL THE BEST.
 
Niliwaza na nikafanya kipindi nipo ugenini nilienda kutoboa ukuta wa bafu(hizi bafu za mabati) niwe nakula chabo ma manzi wakienda kuoga.. Niliona mengi ila yote ya yote ulikuwa ni ujana(balehe) honesty najutia maana hata wale niliokuwa nawaheshimu niliwala chabo.
 
usijute.
ni ujinga lazima tuanze kuwaza uĵinga ndio tuanze kuwaza mema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…