Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Dah...kweli bana...vilaza hawajui unalea familia ngapi pale TBL....ma flyover yote yanajengwa kwa kodi inayotokana na pombe....halafu itakuja mipuuzi hapa itasema eti ukinywa pombe usiendeshe...wakati hata hawajui hiyo pesa ya kujenga barabara inatoka wapi..shubaaamitNiliwaza ifikapo 2019 mwezi WA 10 niache pombe kabisa niendelee na research zangu za kisayansi na elimu vitendo maana nili stop nlipoanza kunywa nikashindwa kupata boarding pass ya kwenda nchi Fulani kwa kuugua ugua kisa pombe
Imagine ni wazo la kipuuzi Sana unaachaje pombe
😀 😀