Hili ni jambo moja la kijinga kabisa nilikuwa naliwaza enzi zangu. Uliwahi kuwaja jambo gani la kijinga kabisa

Dah...kweli bana...vilaza hawajui unalea familia ngapi pale TBL....ma flyover yote yanajengwa kwa kodi inayotokana na pombe....halafu itakuja mipuuzi hapa itasema eti ukinywa pombe usiendeshe...wakati hata hawajui hiyo pesa ya kujenga barabara inatoka wapi..shubaaamit
πŸ˜€ πŸ˜€
 
We ni miongoni mwa watu wenye busara huku jamii forums mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…