Hili ni janga la Kitaifa kwa Mabinti waliopo kwenye Ndoa!

Wanawake wanalindwa kisheria, wanatambua mamlaka za kufikisha matatizo yao endapo wakinyanyaswa.

Ukinyanyaswa halafu ukafumbia macho ni juu yako

Vinginevyo yafanywayo ndani ya kuta nne na watu wazima kwa idhini yao ni sawa sawia
 
Kwa utafiti upi kwenye mambo ya ndani sana kama haya mwanangu au unafanya mjumuisho tokana na uzoefu wako?
 
Yes Anal sex sio nzuri ila sio kwa hiki ulichopotosha hapa. Hayo mambo ya shahawa kuwasha umezitoa wapi? Hata kutanuka kuna mazoezi yake uke pamoja na anus zinarudi kuwa tight otherwise huko zanzibar wangekua wanazaa kwa operation pekee.

Tupinge anal sex kwa sababu dini hazikubali ila tusilazimishe uongo ili kujenga hoja.
 
Hasara ni kubwa sana. Miezi michache mtu mmoja alioa kumbe Bi. Harusi ndio ilikuwa michezo yake hiyo akamwambia jamaa huku mbele sii enyoy chochote jamaa akasema ufiraji ni dhambi, siwezi mtenda Mungu huo uchafu binti akasema basi tuachane. Kizazi cha zinaa za kila aina kipo duniani Mungu atusaidie sana.
 
Hakika hili ni tatizo.
 
Hmmmm
 
Wanawake hamjui kujisafisha. Iko hivi, mwanaume ukifanya naye akamwagia huko, uke wa mwanamke una namna ya kujisafisha, utoa uchafu wake mwenyewe, lakini huko nyuma hakuna namna ya kujisafisha, kuna mikunjo mikunjo mingi ambayo shahawa zinakaa huko, hivyo usipojua kujisafisha vizuri basi shahawa zinakaa muda mrefu na kuoza.

Zinatengeneza bakteria wanaowasha ndiyo wanakulazimisha ufanye kila siku na baada ya mwaka umeshaharibika. Ukishaharibika tu mwanaume anahamia kwa mwanamke mwingine na anakuacha, na kwa kuwa hakuna mtu anataka kuishi na hiyo harufu, kwa sababu kushapanuka sana, unaachwa.

Umejuaje haya yote
 
Naskia na Tundazuri ni walewale
Umenena vyema, simshauri mtu kila mtu na starehe yake, ninachojua kufanya sio kwmba kunawasha ila ni hisia tu ya mtu kwa kweli, mapenzi ni hisia so hata huko nyuma ni hisia tu ya mtu aidha amezoea na ni starehe tu ya mtu. Mtu anaakunywa pombe chungu mpaka uso unajikunja alafa haachi so kila mtu anastarehe yake. Kusema shahawa ndio zinasababisha kuwasha mtu aingiliwe hapana ni hisia tu za mtu. Sitaki kupinga mawazo ya mtu ila ninachojua ni kwamba kila mtu ana starhe yake. Ila ukikubali kumwagiwa shahawa hakikisha unazitoa baada ya hapo, au kama huwezi hakikisha unatumia food supplement iitwayo mlonge majani chemsha au ile iliyosindikwa kwa kunywa kwenye chai hata mara moja kwa wiki, au ukiweza tumia condom ila uwe na mafuta mazuri usije ukaumizwa na condom.

Angalizo, usifanye jambo kwa kumpendezesha au kumridhisha mpenzi wako wanaume ni mbwaaa wanakula ovyoooo, simamia msimamo wako, kama hujawahi fanya jambo usijilazimishe kikubwa tumia ubunifu uwapo kitandani hadi akiwa kazini akumiss.

Cha mwisho, usafi ni muhimu sanaa, hakikisha mnakuwa wote wasafi muweze kufurahiana kwa kweli.

Ahsante kwa kipenzi changu kwa kuni'tag, happy new year in advance💓
 
Binadamu amekuwa katili kweli kweli
 
Wanawake wengi wanaanza kuingiliw kinyume kabla hata ya Ndoa inshot now ni kama fashion. Huko ktk group zao wanahamasishana Sana kufanya hvo
 
Vibinti vidogo vidogo vinahitaji elimu sana kuh mapenzi. Miaka 18 mpk 25 wengi wao wakiambiwa wafanye kinyume wanafanya bila kujua kuna madhara baadae. Wake wa watu wa baadae wengi watakua wanafanya huo ujinga ujanani

Elimu inahitajika sana juu ya hio kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…