Hili ni janga la Kitaifa kwa Mabinti waliopo kwenye Ndoa!

Hili ni janga la Kitaifa kwa Mabinti waliopo kwenye Ndoa!

Hamna kitu kinacho waumiza wanawake wa siku hizi kama tamaa ya fedha. Utakuta anakata kushindana na trend za simu,fashion za nguo na viatu, nyumba kali ,ndinga, bado anamichezo miwili majina matatu kila mmoja, vikoba viwili ana mikopo ambaye hata yy mwenyewe hajui anakopa kwa sababu gani bado anataka akashindane na wenzake kwenye masherehe, ndio maana wanajikuta wanakuwa watumwa wa fedha.Ukishafikia hatua hiyo, hata mwanaume akikwambia anahitaji mlango wa nyuma,ale manii au sometimes wengine huko uarabuni wananyewa midomoni ila kwao wanaona sawa,wasije wakayauzi madanga yao.

Kundi lengine hawa wa kuiga trend za social networks/sites za ngono au kuiga kutoka kwa ma rafiki zao.
 
Mzazi mwenzangu ni 19 yrs anataka kwwnguvu mm huwa namkatalia hadi analia, kila siku huwa anaomba namwambia sitaki aibu ya manesi mm
 
HILI NI JANGA LA KITAIFA KWA MABINTI WALIOPO KWENYE NDOA!😭💔

Wanawake wanaokubali kuingiliwa kinyume na maumbile katika ndoa zao ni wengi, tena wengi ni mabinti wa kuanzia miaka 22 mpaka 27, ndiyo kwenye ndoa, achana na wale wa mtaani.

Unakluta mwanuame ni Malaya mke kamfumania mata kibao! Anapokuja kwa mke wake, anamuambia, “Ukinipa kinyume nitakupenda, sitachepuka kwa sababu kinachonifanya kuchepuka huko nje ni kwa sababu nimezoea kufanya nyuma, huku mbele sifurahii!”

Dada akiamini kwamba analinda ndoa anamkubalia. Labda niwafafanulie, tofauti ya kufanya kinyume na maumbile ukiwa kwenye ndoa au huko mitaani ni hivi, ukiwa nje ya ndoa, hujaoa au umeoa lakini unafanya na mchepuko, huwezi kufanya kila siku. Unaweza kufanya kwa mwezi hata mara moja, mbili au tatu.

Lakini kwenye ndoa, mume akishaanza kukuingilia, itakuwa ni suala la kila siku, wakati mitaani mwanamke anaweza kukaa miaka 5 bila madhara, kwenye ndoa ukivumilia sana ni miaka miwili. Wengi wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile kwenye ndoa zao wanajikuta ni mwaka mmoja tu wameshaharibika.

Wanawake hamjui kujisafisha. Iko hivi, mwanaume ukifanya naye akamwagia huko, uke wa mwanamke una namna ya kujisafisha, utoa uchafu wake mwenyewe, lakini huko nyuma hakuna namna ya kujisafisha, kuna mikunjo mikunjo mingi ambayo shahawa zinakaa huko, hivyo usipojua kujisafisha vizuri basi shahawa zinakaa muda mrefu na kuoza.

Zinatengeneza bakteria wanaowasha ndiyo wanakulazimisha ufanye kila siku na baada ya mwaka umeshaharibika. Ukishaharibika tu mwanaume anahamia kwa mwanamke mwingine na anakuacha, na kwa kuwa hakuna mtu anataka kuishi na hiyo harufu, kwa sababu kushapanuka sana, unaachwa.

Naongea kwa uchungu kwa sababu kwa wiki sipokei chini ya meseji 10, yaani mabinti 10, wapo kwenye ndoa kuanzia miaka 22 mpaka 27, tayari wameachika kwakua wahsaharibika, kuna ambao washapewa talaka na wengine unakuta mume kamtelekeza hapo tu hata kumgus ahataki!

Kuna KUKU wengi sana, na wanavumilia kwakua hawana pakwenda!
Mwanamke anaemkubalia mwanaume amfanye nyumba ni mjinga wa mwisho kabisa katika vitu sitafanya duniani ni kula tigo
 
Kwa mtazamo wangu wakishamba naona mwanamke kuombwa laini 2 ni dharau na kushushwa thamani.
Unafikiri mwanaume anaekula tigo anamchukuliaje mwanamke anayemla tigo? "Me nawaona kama uchafu" japo hatuna haki kuwajudge
 
Sidhani km wanahamasishana
Ni kitendo cha aibu, sidhani km kuna binti atasema anafanya km sii malaya
Siku moja niko sokoni,sasa karibu na meza niliokuwa ninachagua bidhaa kulikuwa na mabinti wawili.
Mmoja ni muuzaji sokoni hapo na wa pili alikuwa ni rafiki yake kaja kumtembelea pale sokoni ijapo niligundua kuwa kamfuata kumuomba ushauri.

Miongoni mwa mazungumzo yao ilikuwa ni ushauri kuhusu masuala ya ndoa.
Mgeni huyu alimuuliza mwenyeji wake ni nini afanye ili adumu ktk ndoa kwani akiolewa mara kadhaa amekuwa akiachika ndani ya muda mfupi.

Sasa ushauri aliopewa ni kuwa hapo alipooelewa kwa wakati huo aruhusu matumizi ya barabara ya tope,hiyo ndio dawa ya kudumu ktk mahusiano na kwamba akifanya hivyo hatoachwa tena!

Sasa hili nililishuhudia kwa masikio yangu binti akimhimiza mwenzie kujiunga na kundi hili.
Sasa hapa sio kuhamasishana au tuhiteje?
 
Siku moja niko sokoni,sasa karibu na meza niliokuwa ninachagua bidhaa kulikuwa na mabinti wawili.
Mmoja ni muuzaji sokoni hapo na wa pili alikuwa ni rafiki yake kaja kumtembelea pale sokoni ijapo niligundua kuwa kamfuata kumuomba ushauri.

Miongoni mwa mazungumzo yao ilikuwa ni ushauri kuhusu masuala ya ndoa.
Mgeni huyu alimuuliza mwenyeji wake ni nini afanye ili adumu ktk ndoa kwani akiolewa mara kadhaa amekuwa akiachika ndani ya muda mfupi.

Sasa ushauri aliopewa ni kuwa hapo alipooelewa kwa wakati huo aruhusu matumizi ya barabara ya tope,hiyo ndio dawa ya kudumu ktk mahusiano na kwamba akifanya hivyo hatoachwa tena!

Sasa hili nililishuhudia kwa masikio yangu binti akimhimiza mwenzie kujiunga na kundi hili.
Sasa hapa sio kuhamasishana au tuhiteje?
Inasikitisha sana
 
Siku moja niko sokoni,sasa karibu na meza niliokuwa ninachagua bidhaa kulikuwa na mabinti wawili.
Mmoja ni muuzaji sokoni hapo na wa pili alikuwa ni rafiki yake kaja kumtembelea pale sokoni ijapo niligundua kuwa kamfuata kumuomba ushauri.

Miongoni mwa mazungumzo yao ilikuwa ni ushauri kuhusu masuala ya ndoa.
Mgeni huyu alimuuliza mwenyeji wake ni nini afanye ili adumu ktk ndoa kwani akiolewa mara kadhaa amekuwa akiachika ndani ya muda mfupi.

Sasa ushauri aliopewa ni kuwa hapo alipooelewa kwa wakati huo aruhusu matumizi ya barabara ya tope,hiyo ndio dawa ya kudumu ktk mahusiano na kwamba akifanya hivyo hatoachwa tena!

Sasa hili nililishuhudia kwa masikio yangu binti akimhimiza mwenzie kujiunga na kundi hili.
Sasa hapa sio kuhamasishana au tuhiteje?
Halafu huyu rafiki mtoa ushauri anaweza kum blackmail rafikiye kwa kumtangaza kuwa anagawa tigo
 
Back
Top Bottom