Mwana umeuwaaa...
kama wanajua kusoma game sasa wakosee kutoa wimbo wao wa tar 1 september....wakijitusu poz kwa poz atawadondoshea pin la kuwajibu nalo litawafunika kwa viewerz mitandaoni...
na wakidiss tena poz anawauwa kwa silaha za maangamizi...safari hiyo ommy atapost akimla denda tukinao...
ahahahahaa...mama mkanye mwanao...
king kiba team north korea team kiduku nyuklia weapons kama ugomvi wa mawe hayauzwi unajiokotea unalirusha tuu.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
ndo dharau zenyewe hizi,Propaganda haihusiani kabisa...mi team Diamond
Ila team Kiba wamechemsha...Diamond hategemei soko la ndani
carnte himself
Hahahahahah wameishiwa hao umenichekesha sana kwa hiyo kashuka Domo kwa ajili ya Mange kapaa KING kwa ajili Ruge ukweli ni kwamba dogo target zake za kiboya na roho yake ya jivu ndio vinavyomtumbukiza shimonindo dharau zenyewe hizi,
kumbe ninyi ndo mnamfundisha dharau
Akifa shekhe kazi ya Mungu
Akifa mlevi sababu ya Pombe
na huu ndio ukweli ambao hawataki kuusikiaDuuu kweli ww ni badili tabia wasipokuelewaa hapa basi tena
Kwahiyo mnakubali kwamba msanii wenu anakuzwa na bifu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana, angekuwa mkali angeendelea kushindana nao kwa nyimbo na sio bifuDomo alikosea sana kumaliza tofauti zake na davido mana kipindi hicho alikuwa domo vs davido nani mkali na ilimkuza sanaa kimataifa nasikitika sanaa yukwapi yule mondi wakufanananishwa na davido na kina wizkid
Hahahaaa sikupatii unaposeduce sa hv, mkuu punguza hasira halafu take it easy, yaani kiba toka wimbo wake wa kwanza sinderela mpaka huu wa sasa seduce me hakuna wimbo ulowahi kuchuja ..ukipigwa popote tu lazma utingishe kichwa, kitu Kama Mac muga , mapenzi yana run dunia, naksh naksh , mwanadsm, AJE, aaah kiba ni firee aiseeWe kweli bwege mtozeni! Hilo bakuli lenu lina ngoma gani kali kumshinda mod? Kwenye matuzo hilo bakuli likae mbali kabisa na kwenye success hapo ndio kabisaaa hilo bushman likacheze na matembo yake tu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mm hiyo signature ndo inaniachaga hoiTusisahau hata domo media zilimbeba mpaka kafikia hapo alipo...
so sio issue media zikimbeba hata king kiba...
domo na timu yake mujipange naamini munajua mulipojikwaa.
musiporekebisha anguko kubwa zaidi laja.
USHAURI WA KITAALAMU.
Ule mpango wenu wa kutoa nyimbo tar 1 sept 2017 muuweke kando la sivyo mutakula za uso...
subirini upepo wa king upite ndio mutoe wimbo...na mukitoa muhakikishe hauna majungu ya kikekike la sivyo dogo poz kwa poz aka babake mtu atawanyea mukome na viranga vyenu.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Yuko juu wapi au juu wcbAlitaka kiti akapewa na kitanda akalale kabisa mange kimavi yule ni malaya aliyeshindika wala anitishi walishapambana wengi mondi ashuke ila kila siku yupo juu ijumaa chuma kinatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kukariri tu[emoji3] [emoji3]Watampandisha kiba lakini hawezi kumfikia mond kamuacha mbali kimziki Kama dar na songea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mm nashangaa sn mtu anamtukana na kumdharau mwenzake but still watu bado hawaoni wala kuckia, wanafagilia upuuzi tu. Mungu wetu sote na ipo cku Mondi atalia na kuomboleza kwani ogopa sn kumchokoza mtu ambae hakujib Mungu akinib mmmhhh nj balaaa. Ktk hili linaloendelea ndio nmeamini kua kweli mond anamchukia sn kingUmejitahidi kuonyesha uwezo wako unapofikia, mie napenda muziki mzuri napenda nyimbo nzuri alizoimba mond na alikiba. Lakin kwa alichokifanya mond ni cha kuanzisha bifu la kijinga ili alikiba akitoa nyimbo ibume. Kadhihirisha ana roho mbaya na Mungu huwapinga wenye kiburi na kujikweza kweli kaabika vibaya na wale mashabiki ambao yanashabikia hata ujinga sawa tu. Mziki wa kiba Ni level nyingine kabisa umchukie umkubali watanzania wamesema yes.
Sent using Jamii Forums mobile app
King yupiAta mm nashangaa sn mtu anamtukana na kumdharau mwenzake but still watu bado hawaoni wala kuckia, wanafagilia upuuzi tu. Mungu wetu sote na ipo cku Mondi atalia na kuomboleza kwani ogopa sn kumchokoza mtu ambae hakujib Mungu akinib mmmhhh nj balaaa. Ktk hili linaloendelea ndio nmeamini kua kweli mond anamchukia sn king
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee so nice point jomoni.Kila msanii anafit..... wigo ni mpana sana
Tatizo team mond mnatafuta justification....
Na mnataka kubishana na 2.2 viewers......
Kuna wapenzi wengi wa mziki wasio na team wanachojali ni mziki mzuri baaaaas
Na sio kila nyimbo Domo atakuwa wa kwanza.....kupitwa kutokana na wateja watakavyoupokea kupo pale pale
Bila kusahau Domo na hawara wake waache kutusi wateja...... haiwezekani ukaungwa mkono kila siku....mitandaoni haiwezekani ukasifiwa daily...kuita wateja wanuka chupi... au..pundaa wanapoteza wateja.... waache kutegemea kiki za kipuuzi....mwisho wa siku watu wanakuwa interested na kiki kuliko mziki
Mameneja wa Domo wazingatie professionalism. ...mameneja kutwa vijembe....wanampoteza
Domo aache kuimba watu.....yaani nyimbo mtu unazipredict kabisa....asipoimbwa wema ataimbwa zari...jokate.... mobeto...
Timing ya kutoa nyimbo
Kudiss wenzake aache
Kudhani kuwa yeyey ni bora kuliko wengine aache....kuna kina aslay wanaimba vizuri kuliko yeye ni wakati tu
Pia kila kitabu na zama zake na watz wakiamua wanakunyoosha tu
Kwa hiyo badala ya mumfariji na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa meambieni ukweli
Mwisho fiesta haikuundwa kwa ajili ya Domo pekee... kila msanii ana nafasi sawa kutegemea na hadhira.....
Nyimbo ya Sep. 1 ni Patoranking ft Diamond so wcb hawausikii na lini wimbo utatoka na uzuri huu wimbo utatembea afrika nzimaMwana umeuwaaa...
kama wanajua kusoma game sasa wakosee kutoa wimbo wao wa tar 1 september....wakijitusu poz kwa poz atawadondoshea pin la kuwajibu nalo litawafunika kwa viewerz mitandaoni...
na wakidiss tena poz anawauwa kwa silaha za maangamizi...safari hiyo ommy atapost akimla denda tukinao...
ahahahahaa...mama mkanye mwanao...
king kiba team north korea team kiduku nyuklia weapons kama ugomvi wa mawe hayauzwi unajiokotea unalirusha tuu.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu