Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to the World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa. Eti diamond kamtukana mobeto..we ungemjua mobeto bila diamond. Kanyimbo kenyewe kabaya tu.

Ruge ni bepali anaangalia maslahi zaidi ya utu. Fatilia connection kati ya Rockstar TV na clouds Media. Wana mkataba kwa ajili ya kusupport mziki wa ndani. Kwa sasa alikiba nae ni director wa rockstar.

Huyu binti seven mosha raia wa Kenya na mtangazi wa zamani wa clouds ndiyo ana injia haya yote. Kwa vile diamond hapendi kusema tu but huyu binti kambania sana zamani kipind diamond anataka kupigia nyimbo zake MTV base ya afrika seven akiwa mfanyakazi wa MTV base.

Wanaukawa msiingie mtego huu. Msameheni kwa nyimbo ile
Dah ! Kuna watu Mko Deep aisee.....Anyway ..U nailed it Mkuu ....Mwenye masikio asikie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale waliokuwa wanakesha mtandaoni kusema Kibakuli ana dharau leo wanajiramba..... wabongo nawaelewa
 
Domo alikosea sana kumaliza tofauti zake na davido mana kipindi hicho alikuwa domo vs davido nani mkali na ilimkuza sanaa kimataifa nasikitika sanaa yukwapi yule mondi wakufanananishwa na davido na kina wizkid
 
Mtu kama wewe unastahili kutukanwa yaani Alikiba kafanya vizuri unaanza kulalamika akifanya diamond hakuna anayelalamika mara ngapi diamond kasifiwa kwa kufanya vizuri hakuna aliyepinga iweje kwa kiba?Ina maana wewe unaona hastahili?huu ni UKUKU
Tena ubata na uharo.mtupuuuu
 
Wee ulitaka matangazo yake wasimtose hela??? Kisa ni diamond???
Wee umeambiwa clouds ni sehemu ya kutolea msaada siyo....
Hutaki Ali kiba afanye show kwa hiyo Milion 2 unataka akale kwako siyo??????

Unataka diamond akanye show ya Milion 100 fiesta kwa mziki gani alio nao?????
Maswali mazuri mnoooo yani mnooo
 
Kila msanii anafit..... wigo ni mpana sana

Tatizo team mond mnatafuta justification....

Na mnataka kubishana na 2.2 viewers......


Kuna wapenzi wengi wa mziki wasio na team wanachojali ni mziki mzuri baaaaas

Na sio kila nyimbo Domo atakuwa wa kwanza.....kupitwa kutokana na wateja watakavyoupokea kupo pale pale

Bila kusahau Domo na hawara wake waache kutusi wateja...... haiwezekani ukaungwa mkono kila siku....mitandaoni haiwezekani ukasifiwa daily...kuita wateja wanuka chupi... au..pundaa wanapoteza wateja.... waache kutegemea kiki za kipuuzi....mwisho wa siku watu wanakuwa interested na kiki kuliko mziki

Mameneja wa Domo wazingatie professionalism. ...mameneja kutwa vijembe....wanampoteza


Domo aache kuimba watu.....yaani nyimbo mtu unazipredict kabisa....asipoimbwa wema ataimbwa zari...jokate.... mobeto...

Timing ya kutoa nyimbo


Kudiss wenzake aache

Kudhani kuwa yeyey ni bora kuliko wengine aache....kuna kina aslay wanaimba vizuri kuliko yeye ni wakati tu

Pia kila kitabu na zama zake na watz wakiamua wanakunyoosha tu

Kwa hiyo badala ya mumfariji na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa meambieni ukweli


Mwisho fiesta haikuundwa kwa ajili ya Domo pekee... kila msanii ana nafasi sawa kutegemea na hadhira.....
Duuu kweli ww ni badili tabia wasipokuelewaa hapa basi tena
 
kama ni kwely usemayo, bac clouds wametumia akili sana kukuza business yao. Dai pia kupenda kwake taarab kumemponza, haikua na haja yaku release zilipendwa, kisa Ally katoa seduce me, wagogo husema, silence is the best ship home. Kwa hapa ilibidi anyamaze atoe song bdae. Ila kwa ujumla Dai ni mkubwa sana Ally, sema still kama binadam ana weakness yakuimba imba wengine kitu kilichom cost kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasanii wasipo jua thamani yao watamtafuta mchawi miaka yotee wasimpate diamond juhudi zako endeleza utaendelea kuwatoa jasho miaka yote acha wajishushe thamani wapaishwe kwa visa ila hawatapata unacho pata, narudia tena mwaka huu hatutakua na msanii kutoka nje by ruge [emoji23][emoji23] mondi akili kichwani beichee anatafutwa apo kisa watu wataaminishwa ni mkubwa kuliko wewe we bei zako si zinajulikana lazima uundiwe tume ya maangamizi, acha wa miamia kama maembe wapaishwe mwisho wasiku mbio zao zitaishia ukingoni somo katika kitabu cha wadanganyika 9:20 - 17
Bei cheee wewe hata buku kumi ya kuhonga huna msyuuuuuu
 
Sure mkuu siku hizi amekuwa mtu wa kujibu kila kitu sijui nini kimempata.
Mara ya kwanza ilikuwa kuwa kiba ndiye anamtafuta diamond na diamond hamsemi kiba lakini juzi game limechange.
Siku hizi diamond anapost ujinga ujinga hilo linampotezea sifa. Yani angekuwa kama zamani asingepata kipigo alichopata hii week yani kajichanganya na bado atazidi umia.
Kuna tuzo wanashindania nje yeye na alikiba kwa mwendo huu na uhamasishaji huu, I am sure kura za kiba zitakuwa nyingi.
I think kama mdau alivyosema inabidi aache sana post kwenye social media aweke mtu awe ndiye anadeal na kupost na awe anapost kazi kazi tu mengine yanayoongelewa juu yake awe anapiga kimya kama zamani.
Yani alikuwaga anakaa kimya kiasi kwamba ikitokea ameongea watu watasema aisee kaongea kwakuwa yamemfika shingoni kasemwa sana ila siku hizi full kujibu tu.
Wataalamu wa saikolojia tunahisi kuna kitu kinaendelea kwenye ndoa yake na zari...

pia issue ya mobeto itakuwa imekinukisha kwenye ndoa ya mchizi so kavurugwa na frastration za mkewe...

anaongea na kuropoka kwenye mitandao hovyohovyo kumbe siteresi za zari na mobeto na huku kiba anawapeleka puta basi balaa tupu.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
kifupi umeandika pumba, unajaribu tuu kujipooza na homa ya seduce me. kifupi biashara zote za diamond zina partnership kubwa na Clouds media kama ulikua hujui.
 
Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to the World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa. Eti diamond kamtukana mobeto..we ungemjua mobeto bila diamond. Kanyimbo kenyewe kabaya tu.

Ruge ni bepali anaangalia maslahi zaidi ya utu. Fatilia connection kati ya Rockstar TV na clouds Media. Wana mkataba kwa ajili ya kusupport mziki wa ndani. Kwa sasa alikiba nae ni director wa rockstar.

Huyu binti seven mosha raia wa Kenya na mtangazi wa zamani wa clouds ndiyo ana injia haya yote. Kwa vile diamond hapendi kusema tu but huyu binti kambania sana zamani kipind diamond anataka kupigia nyimbo zake MTV base ya afrika seven akiwa mfanyakazi wa MTV base.

Wanaukawa msiingie mtego huu. Msameheni kwa nyimbo ile
Mwambie huyo msanii wenu aache ukuda maana hataki kuona wenzio wanatoboa yeye na akina salam babu tale sio wagawa riziki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kifupi umeandika pumba, unajaribu tuu kujipooza na homa ya seduce me. kifupi biashara zote za diamond zina partnership kubwa na Clouds media kama ulikua hujui.
We kweli bwege mtozeni! Hilo bakuli lenu lina ngoma gani kali kumshinda mod? Kwenye matuzo hilo bakuli likae mbali kabisa na kwenye success hapo ndio kabisaaa hilo bushman likacheze na matembo yake tu!
 
Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to the World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa. Eti diamond kamtukana mobeto..we ungemjua mobeto bila diamond. Kanyimbo kenyewe kabaya tu.

Ruge ni bepali anaangalia maslahi zaidi ya utu. Fatilia connection kati ya Rockstar TV na clouds Media. Wana mkataba kwa ajili ya kusupport mziki wa ndani. Kwa sasa alikiba nae ni director wa rockstar.

Huyu binti seven mosha raia wa Kenya na mtangazi wa zamani wa clouds ndiyo ana injia haya yote. Kwa vile diamond hapendi kusema tu but huyu binti kambania sana zamani kipind diamond anataka kupigia nyimbo zake MTV base ya afrika seven akiwa mfanyakazi wa MTV base.

Wanaukawa msiingie mtego huu. Msameheni kwa nyimbo ile
Sawa .Kuna ukweli katika hili. Wale jamaa ni mabeberu sana. Pia la kumaliza tofauti zake na media kama EATv na zingine hilo ni la kulifanya hata sasa. Bigup mkuu ushauri nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom