watanzania labda wa mitandaoni, huko mitaani ni zilipendwa tu hiyo seduce wala hatuisikiiUmejitahidi kuonyesha uwezo wako unapofikia, mie napenda muziki mzuri napenda nyimbo nzuri alizoimba mond na alikiba. Lakin kwa alichokifanya mond ni cha kuanzisha bifu la kijinga ili alikiba akitoa nyimbo ibume. Kadhihirisha ana roho mbaya na Mungu huwapinga wenye kiburi na kujikweza kweli kaabika vibaya na wale mashabiki ambao yanashabikia hata ujinga sawa tu. Mziki wa kiba Ni level nyingine kabisa umchukie umkubali watanzania wamesema yes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasahau kuwa kiba ameanza kupendwa hata kabla ya mond kutokaMkuu umeongea point sana kiba hajaleta jipya lolote ktk bongo fleva bt anavyopaishwa mi nadhani mond astaafu mziki halafu tuone watampeleka wapi kiba wao
Sent from my Phillips Savy
Umeongea ukwel kiufup management ya bwana mdogo wamekuwa hawana mbinu za kisasa za kufanya msaani wao aendelee kuvuma kwa muda mrefuHapa hakuna public sympathy mkuu, ubora wa kazi unaongea.Tatizo la Diamond anaamini yupo juu na anatakiwa kubakia hapo kwa namna yoyote ile.Anatumia nguvu kubwa kupigana vita na kazi za wasanii wengine ili ionekane kazi nzuri zinazalishwa na record label yake.At first tulidhani anafanya hivi kwa Kiba tu but tuliona nguvu kubwa aliyotumia kujaribu kuizima Muziki ya Darasa but akashindwa.Uhusika wake katika sakata la kupotea kwa ROMA kwa kutoa ngoma ya kutatanisha nayo ilimgharimu pasipo yeye kuliona au pengine ni uchaguzi alioamua kuufanya, upuuzi wa FRESH ndio ikawa kama kuongezea chumvi katika kidonda kibichi.Hii vita anayo ichochea now imemtokea kwani karelease ngoma kwa dhamira ya kuzima ngoma ya mwenzie na sasa ime backfire vibaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamisa mchafu kuliko diamond?, mchafu kachafuliwa na mchafu zaidi kaz kwenu binadamu kachafua mkaaKipindi anampa mimba ulikuwepo? Au magazeti yameandika. Unajua uchafu wa Hamisa.
Nazan wameharibiwa na yule mganda wake nyodo na viburi mim binafsi nilikuwa nashangaa hata sallam ameanza hiz tabia za kijinga kupenda madongoDai naona amehama katika njia aliyotokea, DAI hakua mtu wa kauli za kujikweza, hakua mtu wa kujibu hata pale magazeti yalimuandika vibaya. Sa sijui kimempata nini masikini ya Mungu. Yani ile sifa ya uwanaume inamponyoka dah, nilikua namuelewa sana pale alipokua anakaushia matusi, lkn leo yeye ndiye mtoa vijembe!
Nahis kuna haja ya kuwa na maproducer pale zaid ya mmoja ili kuongeza radhaMkuu hata mie nimeshangaa Mond hakuwa mtu wa kufanya vitu anavyofanya sasa,ila mie binafsi nichogundua ni kuwa hizi nyimbo nne za Mond alizotoa mwanzo hazijafanya vizuri kwa kukosa muamko uliyozoeleka.
Ni wazi hii ndiyo sababu iliwachanganya Wcb wote na kuanza kufanya mambo ya ajabu.
Akiwemo mama yako mzazi, Dada zako na wewe mwenyewe
Waambie wewe naona wa naongea tu afu kwa kuwasadia ni kuwa clouds ndiyo wamekuwa wanapiga vita kiba asirud hewan ( rejea ile tour yake na abdu kiba wakati anarud kwenye game la mziki walimpotezea sana)dogo acha kupiga kelele unajua mahusiano ya DIAMOND na CLOUDSMEDIA GROUP AU KELELE TU....Ni hivi wasafi.com ni affiliated company under clouds media hilo liko wazi wala sihitaji tumia nguvu CHIBU PERFUME ni brand ya kusaga...sasa huoni clouds wana mengi ya kugain akiwa juu...ishu ya diamond kutoshiriki ni kwakua yeye anakua sponsored na voda thast all
Nimenukuu kauli ya mondiAkiwemo mama yako mzazi, Dada zako na wewe mwenyewe
Chunga kauli zako
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteAchana na kiba,diamond anayumba maneno yote hayo uliyoandika yangekuwa ya kumshauri cha kufanya ingekuwa big up sana
Acheni kuwatupia lawama clouds coz wafanyacho sio crime inawezekana diamond akatumia mwanya huo ku move further kama release ya ZILIPENDWA ilivyo promote SEDUCE ME(mange na nyimbo ya zilipendwa wameisukuma seduce me vya kutosha)
Hamtakiwi kulia lia dhidi ya mtu anayetoa nyimbo moja mwaka hadi mwaka wakati mondi na wasafi yake wana release mzigo wa nyimbo ndani ya mwaka sasa stress za mange na clouds inatokea wapi wazee
Na Ali Kiba anabaki kuwa Ali Kiba.all i can is, he has been here and done that so many times toka apate mafanikio, lakini mwisho wa siku diamond anabaki kuwa diamond.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Story Ilianzia kwenye Fresh pale Cinderela alipotajwa
Ally akaja na Twitter Akajibu na Malikia wa nguvu akatajwa
Naseeb akarud na Verse ya Pili Omari nae akahusishwa
Omari akaona sio Case na Mama Chibu akapostiwa
Ally Akamaliza na Seduce Me Kick ikaanza
Wasafi wakaja na Zilipendwa Bifu likaongezewa
Mwisho wa siku Kiba ana 2M Viewers na Zilipendwa ina 1.3m Viewers
Chibu Ulicheza mchezo wa Ally Bila kutegemea na mwisho wa Siku Ally ameshinda
Next Time Play your Cards well Bro.
Acha uongo VEVO wanalipa kwa view sasa hawez kukubal fake viewHizo views zinatengenezwa tu,hazina uhalisia.