Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Ruge ni mtanzania mbunifu lakini ana roho mbaya sana na mafanikio ya wasanii. Anapenda awanyonye tu wasanii. Wasanii msiungana kumkataa Ruge atawasumbua sana.

# stop ruge

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

# stop ruge

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to the World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa. Eti diamond kamtukana mobeto..we ungemjua mobeto bila diamond. Kanyimbo kenyewe kabaya tu.

Ruge ni bepali anaangalia maslahi zaidi ya utu. Fatilia connection kati ya Rockstar TV na clouds Media. Wana mkataba kwa ajili ya kusupport mziki wa ndani. Kwa sasa alikiba nae ni director wa rockstar.

Huyu binti sevena mtangazi wa zamani wa clouds ndiyo ana injia haya yote. Kwa vile diamond hapendi kusema tu but huyu binti kambania sana zamani kipind diamond anataka kupigia nyimbo zake MTV base ya afrika seven akiwa mfanyakazi wa MTV base.

Diamond akipata viewers wengi Youtube na vevo mnasema ananunua viewers.. Mnasema janja janja. Kiba kapata viewers wengi wala hamsemi mambo ya kununua.

Wanaukawa msiingie mtego huu. Msameheni kwa nyimbo ile.

# stop ruge

Jombi yaonyesha hujitambui. Kinacho watenganisha Dai na Mawingu ni fiesta tu lakini mambo mengine wanaenda sawa. Na hii ni kwamba fiesta inadhaminiwa na tiGo wakati Dai yupo na Voda. Ukitaka kuthibitisha hili we angalia matukio yake mengi huwa anafungulia mawingu. Kama lile tukio la kumkubari mtoto wa Mobeto ali break hapohapo Mawingu ndiyo ikasambaa kote. Kama utasikiliza kwa makini kile kipindi cha kina Gea kama kimeandaliwa maalumu kwa Dai kutoa tangazo lake la Mtoto Abdul.Sasa madai ya Cloud wanapambana kumshusha Dai ni ya kupuuzwa. Na mawingu kumpaisha Kiba ni sawa,kwani wapo nae kwenye fiesta lazima wafanye hivyo ili kuvutia show yao ya fiesta.
 
Fiesta inaanza lazma Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazma Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwann inapokalibia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..
Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na ww utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatzo ni Udiamond wako. Tatzo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatzo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil mbagala. Eti unalinga..diamond we hulingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipind chao juzi..eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina dulla, kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu..anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show ( kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwez kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya dar tu.

Diamond hauna dharau kabsa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti sallam hakufai..Sallam anakufaa sana, lazma uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri

1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media ( unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile( ongea na Mlezi wenu hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti ww kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe..hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu..haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakunbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa..mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu km wakina shish baby, killer, stamina..n.k


Clouds wamedhamiria kukushusha kabsa. Hawakuchukii tatzo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwahyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana..but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatzo kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana..pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwahyo vitimu vyao visivyo hata na usajili tegemea tu matusi yao.
Februari 2018 Maneno yako yametimia...
 
As long as vijana wanapata pesa thats good.Haya mengine ni mihemuko tu ya mashabiki
 
Niambie kati ya Diamond na Alikiba nani aliyemuamsha mwenzake safari hii? Unajua usiwe mjinga kuandika ili mrad umeandika
Mkuu kibamia yupo wapi sasa hivi kwasababu siku nyingi sana diamond forever alafu usiwe unajibu tu post za watu wanao ona mbali
 
Hakuna kitu kama hicho wangekuwa wana lengo la kumshusha mond wangekuwa hawapigi nyimbo za wasanii wa WCB maana hakuna WCB bila diamond.
Hizo ni propaganda za mashabiki hakuna kitu kama hicho kabisa, clouds wanafanya biashara na Rock Star wanajua kwa kipindi cha fiesta ambacho diamond hashiriki kiba mashabiki watakuwa wanamsubiri kwa hamu so lazima wampe promo.
It's all about business nothing personal
Mkuu ebu njoo huku
 
Back
Top Bottom