Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Ni ajabu sana ya miaka hii vijana wanahisi wapo tayari kwa commitment kubwa ya ndoa kirahisi rahisi wakijua ndoa ni plug and play game kumbe bila kujua ni plug and not play until you do overhaul and rewiring then try to play.
Wakati wa kudate sio tu wakati wa kufanya ngono tu, kuigiziana character za kuwa romantic yaani unajifanya Alfonzo na yeye anakuwa Barborita au Romeo and Juliet. Then paap pete zikishavikwa mkiingia ndoani mnaanza kuona ndoa ni vita kwasababu hakuna aliyejiandaa na majukumu ya departments za Ndoani. Kinachofuata ni kusukumiana majukumu na kutegeana na kuegemeana as if mlilazimishwa kuishi pamoja kumbe tamaa zenu za kimwili na mihemuko ndivyo viliwaleta pamoja na sio work plan ya kuishi pamoja kama mke na mume kitaasisi.
Kufanya mapenzi ni sehemu ndogo sana ila muhimu ya ndoa kama uliingie ukitegemea kufanya mapenzi ndio itakuwa tiba ya migogoro na sababu ya kuelewana au kumshika mwenzako ili mambo yaende then utakausha sana maji mwilini na bado matokeo usiyaone.
Waliopo ndoani wanakiri kuwa kuna kipindi hawagusani hata miezi miwili na wanalala kitanda kimoja. Sasa wewe unayejiandaa na ndoa, kama ni binti unawazia utamshika mwanaume kwa kumpa mchezo mtamu kuna muda hatakuwa akisisimka hata kidogo tena hapo bado haujapata watoto na mwili haujakongoroka. Imagine mwili ukikongoroka itakuwaje?
Mwanaume kama unaamini show za kibabe zitakuweka salama then tafakari upya. Utapeleka moto style zote ila ukimaliza maisha ya ndoa kwa maana ya gharama zote zinakuhusu na wewe ndie CEO. Huyo unaemkaza, ukimaliza anakuwekea list ya mahitaji ukamletee na wewe ulijua ukishamkaza mtaamka nyote kutafuta ukasahau kuwa yeye anajua wewe ndie kichwa na ndio provider wa kila kitu.
So ushauri wangu kwenu, ule wakati wa kudate (vikao vya kimahusiano mkiwa wawili tu bila mtu yoyote) kaeni mkijua pale ndio muda pekee wa kuwa serious kupanga mustakabali wenu wa maisha na kuwekeana terms zote ambazo hakuna mtu mwingine atawaamulia nje yenu.
Mzungumze yanayowasibu kisaikolojia na huko mnapotoka makwenu kuna changamoto gani zimewaganda ambazo zinaweza kuwa changamoto katika kuishi pamoja.
Mjadili mpango wa mali kwa maana ya mahitaji yenu binafsi na sio binti unakuwa na mipango yako kichwani kwamba mwanaume apambane kupata mali wewe ukasomeshee wadogo zako na kuhudumia wazazi wako ambao wanaendekeza uvivu kwa kisingizio cha umri kwenda. Au unaplan kuweka mali kando wakati mwenzako anaweka mali zote mezani, huo ndio u$eng* unaowaponza mabinti wa kileo kwasababu ya kuendekeza ubinafsi na umimi kwanza mafala ninyi.
Mjadili vyanzo vingapi vya mapato mtahitaji ili kuweza kukidhi mahitaji yenu binafsi kila m'moja wenu separate, then mahitaji ya jumla, na yepi muhimu kuanza na yepi yafuate baadae.
Yapo mengi ya kupanga na hapa uzi utazidi kuwa mrefu nikiendelea kuyalist.
Niwakumbushe tu kuwa ndoa sio lelemama kwa maana ya kitu kinachojiendesha chenyewe bila msaada. Ndoa ni kama baiskeli ukiacha kunyonga inaancha kwenda.
Sasa kama mwanamke unadhania kufanya mapenzi ndio mtaji au mchango wako kwenye ndoa then jiulize kwann masingle mothers wanaongezeka kila uchao.
Na kama mwanaume unadhani ukishamkojoza demu basi unakuwa umeshamaliza majukumu yako kama kidume na mengine utamshirikisha mwanamke ili mfanye nusu kwa nusu trust me utakuja kufungua nyuzi nyingi sana za lawama kwa wanawake hapa. Mwenzako hapo anasubiria hata chupi zikiisha wewe ndie uwajibike na yupo sahihi sababu yupo chini ya himaya yako na anatakiwa kufuata lolote utakalo mwambia kama mume na kiongozi wake.
Young couples huwa mnatumia muda mwingi sana kujadili mambo ambayo kwenye ndoa ni 20% important, mnaacha 80% ambayo ndio yanakuwa ndio msingi na nguzo ya Ndoa.
Wakati wa kudate sio tu wakati wa kufanya ngono tu, kuigiziana character za kuwa romantic yaani unajifanya Alfonzo na yeye anakuwa Barborita au Romeo and Juliet. Then paap pete zikishavikwa mkiingia ndoani mnaanza kuona ndoa ni vita kwasababu hakuna aliyejiandaa na majukumu ya departments za Ndoani. Kinachofuata ni kusukumiana majukumu na kutegeana na kuegemeana as if mlilazimishwa kuishi pamoja kumbe tamaa zenu za kimwili na mihemuko ndivyo viliwaleta pamoja na sio work plan ya kuishi pamoja kama mke na mume kitaasisi.
Kufanya mapenzi ni sehemu ndogo sana ila muhimu ya ndoa kama uliingie ukitegemea kufanya mapenzi ndio itakuwa tiba ya migogoro na sababu ya kuelewana au kumshika mwenzako ili mambo yaende then utakausha sana maji mwilini na bado matokeo usiyaone.
Waliopo ndoani wanakiri kuwa kuna kipindi hawagusani hata miezi miwili na wanalala kitanda kimoja. Sasa wewe unayejiandaa na ndoa, kama ni binti unawazia utamshika mwanaume kwa kumpa mchezo mtamu kuna muda hatakuwa akisisimka hata kidogo tena hapo bado haujapata watoto na mwili haujakongoroka. Imagine mwili ukikongoroka itakuwaje?
Mwanaume kama unaamini show za kibabe zitakuweka salama then tafakari upya. Utapeleka moto style zote ila ukimaliza maisha ya ndoa kwa maana ya gharama zote zinakuhusu na wewe ndie CEO. Huyo unaemkaza, ukimaliza anakuwekea list ya mahitaji ukamletee na wewe ulijua ukishamkaza mtaamka nyote kutafuta ukasahau kuwa yeye anajua wewe ndie kichwa na ndio provider wa kila kitu.
So ushauri wangu kwenu, ule wakati wa kudate (vikao vya kimahusiano mkiwa wawili tu bila mtu yoyote) kaeni mkijua pale ndio muda pekee wa kuwa serious kupanga mustakabali wenu wa maisha na kuwekeana terms zote ambazo hakuna mtu mwingine atawaamulia nje yenu.
Mzungumze yanayowasibu kisaikolojia na huko mnapotoka makwenu kuna changamoto gani zimewaganda ambazo zinaweza kuwa changamoto katika kuishi pamoja.
Mjadili mpango wa mali kwa maana ya mahitaji yenu binafsi na sio binti unakuwa na mipango yako kichwani kwamba mwanaume apambane kupata mali wewe ukasomeshee wadogo zako na kuhudumia wazazi wako ambao wanaendekeza uvivu kwa kisingizio cha umri kwenda. Au unaplan kuweka mali kando wakati mwenzako anaweka mali zote mezani, huo ndio u$eng* unaowaponza mabinti wa kileo kwasababu ya kuendekeza ubinafsi na umimi kwanza mafala ninyi.
Mjadili vyanzo vingapi vya mapato mtahitaji ili kuweza kukidhi mahitaji yenu binafsi kila m'moja wenu separate, then mahitaji ya jumla, na yepi muhimu kuanza na yepi yafuate baadae.
Yapo mengi ya kupanga na hapa uzi utazidi kuwa mrefu nikiendelea kuyalist.
Niwakumbushe tu kuwa ndoa sio lelemama kwa maana ya kitu kinachojiendesha chenyewe bila msaada. Ndoa ni kama baiskeli ukiacha kunyonga inaancha kwenda.
Sasa kama mwanamke unadhania kufanya mapenzi ndio mtaji au mchango wako kwenye ndoa then jiulize kwann masingle mothers wanaongezeka kila uchao.
Na kama mwanaume unadhani ukishamkojoza demu basi unakuwa umeshamaliza majukumu yako kama kidume na mengine utamshirikisha mwanamke ili mfanye nusu kwa nusu trust me utakuja kufungua nyuzi nyingi sana za lawama kwa wanawake hapa. Mwenzako hapo anasubiria hata chupi zikiisha wewe ndie uwajibike na yupo sahihi sababu yupo chini ya himaya yako na anatakiwa kufuata lolote utakalo mwambia kama mume na kiongozi wake.
Young couples huwa mnatumia muda mwingi sana kujadili mambo ambayo kwenye ndoa ni 20% important, mnaacha 80% ambayo ndio yanakuwa ndio msingi na nguzo ya Ndoa.